Nimetongoza mke Wa rafiki

Nimetongoza mke Wa rafiki

DJ SEPETU

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
8,413
Reaction score
12,336
Bila kujua kuna jamaa tunaishi mtaa mmoja pia rafiki yangu kiaina

Sasa nilisikia kuwa ana mke ila yupo bush
Nimekutana nae akitoka saloni nikamtongoza akanipa namba zake Sasa Leo jamaa akaniita Na kunieleza kwa kunitambulisha Sasa hapa sijui itakuaje Na demu anachati sielewi anawezaje

Ngoja nisitishe mpango Wa kumla
 
Jitaid tu uwe unatembea na KY ili usije ukabikiliwa kwa michubuko mkuu
 
KY sikuizi imekua hadimu sana madukani mkuu, uwe karibu tu ata na mafuta ya kupikia kwa usalama wako
 
Baby yule mnyarwanda bado hujapata wa kukusindikiza?yule muarabu uliyeniambia katika interview je?

Mke mwenza kapeace naomba nikuachie bureee kabisa huyu kiumbe
 
Dj ina maana season two ya interview kwa wakaka,wababa na wababu imekushinda?
 
Kuna watu watatu hatari kwa watu walio na wake zao hapa JF:GuDume,DJ sepetu na Beira Baby Boy!!......naomba uongozi wa JF uondoe hawa watu JF mara moja!!
 
Back
Top Bottom