Nimetongozwa na kavulana kauza bucha la nyama

Enyi watoto wadogo, wakiume, wavulana nani amewaloga?

Mmekuwaje mbona hamna hofu ya kuogopa wakinamama wakubwa waliowazidi umri mara 20000?

Mnapata wapi ujasiri huo?

story iko vile:
Kuwa na huruma bhana!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Utazani hutongozwi mfsyuuuu!! yaani mpaka umekaatoa humu hako kajamaa kah! UMEKAMAINDO!
 
Upo ukerewe ipi? 🙄
 
kilichokufanya kukumbuka na kuandika huu uzi ni kummiss na chp kuloa.
 
Siku za hivi karibuni nimekutana na visa hivi vya kina mama kulalamika kutongozwa na vijana wadogo.

Huenda story zenu za kudate na vimarioo zinavuja ko na vingine vinajaribu bahati.
 
Labda alitumwa na mwarabu amtongozee huwezi jua
 
Enyi watoto wadogo, wakiume, wavulana nani amewaloga?

Mmekuwaje mbona hamna hofu ya kuogopa wakinamama wakubwa waliowazidi umri mara 20000?
Dogo kaonyesha ukomav sana mwanaume ni kujiamini.....
 
Nilivyosoma tu ukerewe nikarudi kucheki jina maana sikuwa nimesoma kumbe ni wewe mshenga wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…