exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,263
- 3,897
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wake za watu huwa wanaweka nyuzi ka hizi?
WEWE ACHA KUTUBANIA RIZIKI WANA WEWE!!!hahahaha, tucheke tu ila vijana wanakoelekea sio!
Ndio maana nakupenda. Sema hujui tuSinaga hasira zisokuwa na sababu baby......
Hao vijana wanawapata hao wamama kilaini sana.kuna tatizo kubwa kwa wamama kuliko hao vijana.Vijana wanapenda Majimama, sijuhi wanatafuta nini maana hapa mjini Kuna vitoto vibichi vitamu hatari. " wewe jimama, Ujana wako ule nanani malazi yako uniletee Mimi" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ndugu,umekosea Sana kumwita huyu Mama au dada kwa majina yenye kuudhi,kua yeye ni Malaya au anajirahisisha,sio kweli,dada huyu ni muaminifu na mstaarabu Sana Tena anejiheshimu Sana,angekua Malaya na anajirahisisha asingeleta Uzi au malalmiko yake hapa,isipokua yeye ameona ni Jambo la fedheha Sana kutongozwa na kivulana amekereka sasa mtu Kama huyo utamuitaje kwa majina hayo?Naomba tutumie lugha za kistaarabu na tuheshimu hisia za watu ktk mijadala.Mbona waonekana kama wewe Malaya flan hv
Kama sio basi waonekana wakujilahishaa hv NA UPENDA DOGODOGO
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona hivyo dogo aliona una mokili mobimba (trako)Ni mtoto mdogo sana, namzaa mara elfu 10.