Nimetongozwa na kavulana kauza bucha la nyama

Nimetongozwa na kavulana kauza bucha la nyama

Enyi watoto wadogo, wakiume, wavulana nani amewaloga?

Mmekuwaje mbona hamna hofu ya kuogopa wakinamama wakubwa waliowazidi umri mara 20000?

Mnapata wapi ujasiri huo?

story iko vile:
Jana nilipita kwenye bucha la nyama ambako huwa ninapenda kununulia hapo kwa kuwa wana nyama ya kutoka wilaya ya Ukerewe. Kwa ufupi nyama inayotokana na ng'ombe wa Ukerewe ni nzuri kwa kuwa ng'ombe wa Ukerewe wanalishwa tu maeneo jirani na nyumbani, hawajachoka na pia nyama ya Ukerewe ina ladha nzuri na ni laini. (sio tangazo za biashara mjue)

Baada ya kununua nyama, wakati nafungua mkoba kutoa hela, hako kavula kakawa kananiangalia sana, na mie nikakazia macho. Kakawa kanaonesha ishara ya kuomba namba za simu (yaani kakawa kanaweka mkono wake kwenye sikio kama vile kanapokea simu). Nilikaelewa nikakausha tu. Nikamlipa mwarabu hela yake.

Nilivyotoka hapo kuelekea kwenye usafiri, ghafla nikaona dogo yuko nyuma yangu. Mazungumzo yakaanza:

Dogo: Mama shikamoo.

Mie: Marahaba.

Dodo: huku akiwa anatoa tabasamu kama la panya, samahani mama naweza kupata namba yako ya simu.

Mie: Kwa ajili ya matumizi yepi?

Dogo: Ili niwe nakupigia kukupa taarifa za nyama inapoingia toka Ukerewe.

Mie: Mbona ratiba naijua tu, kwani ni lini niliikuja hapo nikakosa nyama?

Dogo: hahahaha, basi tuyaache hayo ya nyama, nataka tu nipate namba zako tuwe tunachat, kwa ufupi nimependa uwe mtu wangu!

Mie: Mxeeeewuu (nikaondoka zangu nikakaacha kamesimama hapo)
Aisee nimependa msimamo wako wa kipekee. Natamani nikuone nijue ni nini kilimchanganya dogo. Kama unamtaka kaka yake ni inbox namba yako.
 
Akiona mahindi meno yote nje
Sasa Dogo kaona msambwanda ooooh akajua amepata

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wamama wa siku hizi Ni watamu balaa Mimi Kuna mmoja nilimla kimasihala ila yeye hakuwa na mume alifariki kwa ajari kitambo.nilikula Kama Mara mbili hivi bahati mbaya akatokea muislamu mwenzake akamuoa ndo ukawa mwisho wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaha, tucheke tu ila vijana wanakoelekea sio!
Naomba kutoa maoni yangu,
Sababu ilikufanya umsonye na kumnyima namba ni sio uvulana wake au udogo wake,tatizo ni hadhi yake,ya kuuza bucha.
Kitendo cha mwanamke kumkataa mwanaume ni kitendo cha kutoridhika nae,kwa sababu wapo wanaume wengi tu watu wazima au wakubwa kwa umri unaotaka wewe,lakini wanakataliwa tu, na wewe umeshawakataa wengi tu naamini.
Wala suala sio kupenda kitonga au kulelewa kama wengi wanavyodhani ,ila ni matamanio ya kawaida ya mwanaume kwa mwanamke.
Sasa najiuliza vipi kavulana hako kangekua sio kauza bucha ,bali ni katoto ka mkubwa mmoja hapa nchini au tajiri mkubwa tu,mfano angekua mtoto wa JK,au Bahresa,au tajiri fulani tu ,ungekanyima namba yako?ungeandika thread hapa?
Unajua kua Diamond kwa hadhi yake anaweza kula mama mtu mzima au hata bibi akitaka tena bila upinzani?
Unajua mambo ya watoto kuwatongoza wamama wazima hayajaanza leo kama unavyodhani,yalianza toka zama za wahenga,isipokua siku hizi vyombo vya kuhabarishana bila kujulikana nivingi sana ndio maana umeweka humu.
Tangu zamani na hata saa wapo wamama wazima wengi tu wanavipa penzi vitoto,kwa siri ama kwa uwazi,shinda ni kiu ya kufanya mapenzi,wapo wamama hapa Dar huwatafuta vivulana kwa makusudi licha ya kuwa na waume,sababu ni kuepuka kuwapa papauchi watu wazima wenzao kwa sababu wengi ni waume wa watu.
Unastaajabu kumpa namba dogo muuza bucha ili asikutongoze,hushangai wanawake kutumia vitu vyenye umbo la dushe kujitimizia mahitaji yao ya hamu za ngono kama ndizi,matango ,dildo na vitu vingine?
Namaliza kusema kilichomuangusha dogo ni hadhi,kazi yake ya kuuza bucha.
Ni mawazo yangu tu.
 
Naomba kutoa maoni yangu,
Sababu ilikufanya umsonye na kumnyima namba ni sio uvulana wake au udogo wake,tatizo ni hadhi yake,ya kuuza bucha.
Kitendo cha mwanamke kumkataa mwanaume ni kitendo cha kutoridhika nae,kwa sababu wapo wanaume wengi tu watu wazima au wakubwa kwa umri unaotaka wewe,lakini wanakataliwa tu, na wewe umeshawakataa wengi tu naamini.
Wala suala sio kupenda kitonga au kulelewa kama wengi wanavyodhani ,ila ni matamanio ya kawaida ya mwanaume kwa mwanamke.
Sasa najiuliza vipi kavulana hako kangekua sio kauza bucha ,bali ni katoto ka mkubwa mmoja hapa nchini au tajiri mkubwa tu,mfano angekua mtoto wa JK,au Bahresa,au tajiri fulani tu ,ungekanyima namba yako?ungeandika thread hapa?
Unajua kua Diamond kwa hadhi yake anaweza kula mama mtu mzima au hata bibi akitaka tena bila upinzani?
Unajua mambo ya watoto kuwatongoza wamama wazima hayajaanza leo kama unavyodhani,yalianza toka zama za wahenga,isipokua siku hizi vyombo vya kuhabarishana bila kujulikana nivingi sana ndio maana umeweka humu.
Tangu zamani na hata saa wapo wamama wazima wengi tu wanavipa penzi vitoto,kwa siri ama kwa uwazi,shinda ni kiu ya kufanya mapenzi,wapo wamama hapa Dar huwatafuta vivulana kwa makusudi licha ya kuwa na waume,sababu ni kuepuka kuwapa papauchi watu wazima wenzao kwa sababu wengi ni waume wa watu.
Unastaajabu kumpa namba dogo muuza bucha ili asikutongoze,hushangai wanawake kutumia vitu vyenye umbo la dushe kujitimizia mahitaji yao ya hamu za ngono kama ndizi,matango ,dildo na vitu vingine?
Namaliza kusema kilichomuangusha dogo ni hadhi,kazi yake ya kuuza bucha.
Ni mawazo yangu tu.
Hapana mkuu sio kwa kuwa ni hadhi yake ya kuuza kitoweo.
 
Hapana mkuu sio kwa kuwa ni hadhi yake ya kuuza kitoweo.
Mkuu sikulaumu kwa kumkataa mwanaume kwa hadhi,hiyo ni hali halisi ya kibinadamu uhuru wa kupenda kuchagua,utashi na utayari,hairuhusiwi kumkubali kila anayekutongoza,kila mtu ana haki ya kuchagua mtu ampendae iwe kwa mali yake ,haiba,au uwezo wake.
INGAWA hadhi inatakiwa sana na wanawake.
Nimekuuliza angekua ni mtoto wa Mkubwa au tajiri fulani hapa nchini usingempa namba kwa sababu ya uvulana au udogo wake?au angekua star kwa level ya Diamod? achilia mbali kukutongoza,nauliza kumpa namba tu,kwani kumpa namba ni kitu kingine na kutongoza ni kitu kingine.je usingempa?
 
Mhh, kweli katongoza bibi yake.. Kama tu umeijua JF from 2007,,
Shika Shikamoo yako tafadhari..!
 
Wazungu husema "STAY IN YOUR LANE". Unaanzaje kutokea mmama umri wa mama yako kabisa?!. Nadhan ukimvulia chupi huyo kijana mkuu kamwe heshima yako itashuka na ukumbuke vijana wakimvua mjimama huleta habari kijiweni, kazi kwako.

Don't hunt what you can't kill.
 
Enyi watoto wadogo, wakiume, wavulana nani amewaloga?

Mmekuwaje mbona hamna hofu ya kuogopa wakinamama wakubwa waliowazidi umri mara 20000?

Mnapata wapi ujasiri huo?

story iko vile:
Jana nilipita kwenye bucha la nyama ambako huwa ninapenda kununulia hapo kwa kuwa wana nyama ya kutoka wilaya ya Ukerewe. Kwa ufupi nyama inayotokana na ng'ombe wa Ukerewe ni nzuri kwa kuwa ng'ombe wa Ukerewe wanalishwa tu maeneo jirani na nyumbani, hawajachoka na pia nyama ya Ukerewe ina ladha nzuri na ni laini. (sio tangazo za biashara mjue)

Baada ya kununua nyama, wakati nafungua mkoba kutoa hela, hako kavula kakawa kananiangalia sana, na mie nikakazia macho. Kakawa kanaonesha ishara ya kuomba namba za simu (yaani kakawa kanaweka mkono wake kwenye sikio kama vile kanapokea simu). Nilikaelewa nikakausha tu. Nikamlipa mwarabu hela yake.

Nilivyotoka hapo kuelekea kwenye usafiri, ghafla nikaona dogo yuko nyuma yangu. Mazungumzo yakaanza:

Dogo: Mama shikamoo.

Mie: Marahaba.

Dodo: huku akiwa anatoa tabasamu kama la panya, samahani mama naweza kupata namba yako ya simu.

Mie: Kwa ajili ya matumizi yepi?

Dogo: Ili niwe nakupigia kukupa taarifa za nyama inapoingia toka Ukerewe.

Mie: Mbona ratiba naijua tu, kwani ni lini niliikuja hapo nikakosa nyama?

Dogo: hahahaha, basi tuyaache hayo ya nyama, nataka tu nipate namba zako tuwe tunachat, kwa ufupi nimependa uwe mtu wangu!

Mie: Mxeeeewuu (nikaondoka zangu nikakaacha kamesimama hapo)
hizi mambo bana....no wonder akaja kuwa mtu wako,ukampa ile nyama yako laini,akawa anakugonga mpk maini,nawe ukawa kama Kaini,husikii wala huambiliki maskini Nakwede...na ukaja ukaanzia uzi mwingine.."Nimenasa kwa muuza nyama"
 
hizi mambo bana....no wonder akaja kuwa mtu wako,ukampa ile nyama yako laini,akawa anakugonga mpk maini,nawe ukawa kama Kaini,husikii wala huambiliki maskini Nakwede...na ukaja ukaanzia uzi mwingine.."Nimenasa kwa muuza nyama"
Twende kule kwenye jukwaa letu mkuu. hahahahahahaa
 
Dunia inakwenda kasi sana. Napata shida sana kuwaelewa hawa vijana wavaa malapa hawa. Miaka 30 mbele matajiri kwa Tz hii watabaki warithi wa mo na azam tu. Ksbb hawa vijana ni wavivu wanataka kulelewa tu. Ukiwakuta vijiwe vya bodaboda story ni hizo za kampata mmama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom