Nimetongozwa na kavulana kauza bucha la nyama

Enyi watoto wadogo, wakiume, wavulana nani amewaloga?

Mmekuwaje mbona hamna hofu ya kuogopa wakinamama wakubwa waliowazidi umri mara 20000?
Unataka aibe km ametoa dukuduku lake? Basi subilia atakachokufanya kwani ulichofanya naimani si mwisho
 
Enyi watoto wadogo, wakiume, wavulana nani amewaloga?

Mmekuwaje mbona hamna hofu ya kuogopa wakinamama wakubwa waliowazidi umri mara 20000?

Mnapata wapi ujasiri huo?
Hapo chachaa siku mzee akikorofisha utaanza kumkumbuka dogo ,utasema dah kale kadogo ninge kakantrol.be carefuly.
 
Ila sister, napata Mixed feelings, utakuwa Madam fulani very laddish. Yaani, Kijana itakuwa amewaza sana, kwa muda mrefu, Wenda hata akiwa huko getoni, amekuwa akivuta picha na ku wish angeweza pendwa. Beneath hii kitu, naona struggle kubwa sana za kijana kutamani penzi na yake wakubwa tu/ wanafaidi. Nime soma hii upya, nika Imagine.
 
Hivyo vimiaka vyako 27 ndo unataka madogo wakuogope?

Mbona blazaako Mshana Jr na kaumri kake ka miaka 35 analelewa na majimama ya miaka 50+

Acha uchoyo mpare wahed. Toa namba hiyo kijana apate kiburudisho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ilikua wapi..hapo Nela?

Kimsingi hizo ni hisia za mtu,kama unaishi Bwiru,Capri Point na kenyewe kanaishi Mabatini au Igogo,kainue tu ukahamishie hata Igoma huko uwe unaenda kukatembelea
 
Ilikua wapi..hapo Nela?

Kimsingi hizo ni hisia za mtu,kama unaishi Bwiru,Capri Point na kenyewe kanaishi Mabatini au Igogo,kainue tu ukahamishie hata Igoma huko uwe unaenda kukatembelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…