kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 848
Mpeleke kwa Mwamposa kisha muulize bulldozer ana mtazamo gani kinabii kuhusu huyo demu, atakupa jibu la swali lakoAliekuwa rafiki angu wa mda mrefu sasa toka juzi ameanza kunitumia sms za kuniita mpenzi mara baby nikawa namvungia leo amenifungukia kuwa ananipenda nikamwambia kwanini anadai nimsikilize hisia zake nikamwambia unadhani tutaendana? Ni pisi kali akajibu kwanini nikamwambia ww ni mwanamke mzuri sana bila mimi kuwa na hela tutashindwana tu akajibu kanipenda bila pesa
Wakuu nimjibuje?
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Una miaka mingapi?,jibu kwanza hili halafu nikupe ushauriAliekuwa rafiki angu wa mda mrefu sasa toka juzi ameanza kunitumia sms za kuniita mpenzi mara baby nikawa namvungia leo amenifungukia kuwa ananipenda nikamwambia kwanini anadai nimsikilize hisia zake nikamwambia unadhani tutaendana? Ni pisi kali akajibu kwanini nikamwambia ww ni mwanamke mzuri sana bila mimi kuwa na hela tutashindwana tu akajibu kanipenda bila pesa
Wakuu nimjibuje?
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Mjibu kuwa wewe hupenda sana buza kwa mpalange,he atakupa?Aliekuwa rafiki angu wa mda mrefu sasa toka juzi ameanza kunitumia sms za kuniita mpenzi mara baby nikawa namvungia leo amenifungukia kuwa ananipenda nikamwambia kwanini anadai nimsikilize hisia zake nikamwambia unadhani tutaendana? Ni pisi kali akajibu kwanini nikamwambia ww ni mwanamke mzuri sana bila mimi kuwa na hela tutashindwana tu akajibu kanipenda bila pesa
Wakuu nimjibuje?
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Huyu janja anatafuta comments tu kwahiyo kila siku anatunga Visa vipya ili apate commentsYule Jini kaacha kukufanyia vitimbi Kwa hiyo ushapata demu mwengine usjali mwana sasa hivi utapata na KAZI kama mambo yashaanza kufungua.
Mwambie ASIKUZOEEAliekuwa rafiki yangu wa muda mrefu sasa toka juzi ameanza kunitumia SMS za kuniita mpenzi mara baby nikawa namvungia leo amenifungukia kuwa ananipenda nikamwambia kwanini anadai nimsikilize hisia zake nikamwambia unadhani tutaendana? Ni pisi kali akajibu kwanini, nikamwambia wewe ni mwanamke mzuri sana bila mimi kuwa na hela tutashindwana tu akajibu kanipenda bila pesa.
Wakuu nimjibuje?