Nimetukanwa tusi jipya leo, sijaelewa maana yake

Nimetukanwa tusi jipya leo, sijaelewa maana yake

Mashoga wengi wako Arusha,na wengine wameolewa ulaya,majambazi wakubwa na matapeli wako Arusha na moshi.
Makatili wakubwa wasiomuogopa mungu wako Arusha nza moshi,na magari yao yameandikwa "kila goti litapigwa,Yeremia --,zaburi---,yesu aliye hai,nk.
Leo unasema ni Dar?kweli we KINYAMBE.
Tutake radhi wa pande hizo umetumwa nini?
 
sijatumwa mkuu,ila muiadibisge,muikemee,muikosoe jamii yenu
Yote uliyoyasema hayana ukweli wowote ni uongo wa waziwazi na uzandiki dhidi ya arusha na moshi hayana mantiki kwa hiyo hatuna sababu ya kuikosoa jamii yetu wewe tatua maishu uliyonayo usiwabambikie watu wengine nyambafu!
 
Nimetukanwa Kinyambe chako weee.
Mimi nilikuwa najua Kinyambe ni jina la mtu, kumbe ni tusi jamani.......
Daslamu matusi mengi jamani....
Wageni mwakaribishwa msijifunze mambo ya mji huu.
Ushoga, wizi, utapeli, ujambazi,umalaya,uwongo, uchafu na kutokumuogopa Mungu
Kwan kinyambe chako kipo sehem mbaya?
 
Back
Top Bottom