Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,483
- 6,257
Nimenunua njugumawe nusu kilo.
Huku Makongo Juu wanauza 1 kg = 3,400
Nikachambua, nikatia kwenye thermos flask kisha nikaweka maji ya moto (100°c), nikafunga chupa. Hapo ilikua saa tatu usiku.
Asubuhi nikafungua thermos, nikamimina njugumawe kwenye sufuria.
Zilikua hazijalainika ile kuiva kabisa. Nikabandika sufuria kwa jiko.
Nikasema wakati zinachemka, nimalizie movie ya "Kill Chain - 2019" 📺
Dakika tano tu, zishalainika kabisa, ningechelewa zingekua uji.
Nikakata kitunguu🧅 , nikaunga... Nikamalizia na tui la nazi 🥥.
Ebana eeehhh... Tamu sana.
Nilikua nimepanga kupika na wali, halafu njugu ziwe mboga, nimebadili mawazo. Wali sipiki tena.
Nakula hizi hizi njugu kama main dish 🍚. Sema zinaniga, I think nahitaji juice hivi au chai/maziwa!!
Muda niliotumia kuzibandika jikoni hadi naweka 🥥 ni dakika nane tu.
Huku Makongo Juu wanauza 1 kg = 3,400
Nikachambua, nikatia kwenye thermos flask kisha nikaweka maji ya moto (100°c), nikafunga chupa. Hapo ilikua saa tatu usiku.
Asubuhi nikafungua thermos, nikamimina njugumawe kwenye sufuria.
Zilikua hazijalainika ile kuiva kabisa. Nikabandika sufuria kwa jiko.
Nikasema wakati zinachemka, nimalizie movie ya "Kill Chain - 2019" 📺
Dakika tano tu, zishalainika kabisa, ningechelewa zingekua uji.
Nikakata kitunguu🧅 , nikaunga... Nikamalizia na tui la nazi 🥥.
Ebana eeehhh... Tamu sana.
Nilikua nimepanga kupika na wali, halafu njugu ziwe mboga, nimebadili mawazo. Wali sipiki tena.
Nakula hizi hizi njugu kama main dish 🍚. Sema zinaniga, I think nahitaji juice hivi au chai/maziwa!!
Muda niliotumia kuzibandika jikoni hadi naweka 🥥 ni dakika nane tu.