Nimetumia dakika nane (8) kupika na kuivisha njugumawe!

Nimetumia dakika nane (8) kupika na kuivisha njugumawe!

Mlolongo

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2019
Posts
3,483
Reaction score
6,257
Nimenunua njugumawe nusu kilo.
Huku Makongo Juu wanauza 1 kg = 3,400

Nikachambua, nikatia kwenye thermos flask kisha nikaweka maji ya moto (100°c), nikafunga chupa. Hapo ilikua saa tatu usiku.
Screenshot_20221230-164820.jpg


Asubuhi nikafungua thermos, nikamimina njugumawe kwenye sufuria.
Screenshot_20221230-164838.jpg


Zilikua hazijalainika ile kuiva kabisa. Nikabandika sufuria kwa jiko.

Nikasema wakati zinachemka, nimalizie movie ya "Kill Chain - 2019" 📺
Screenshot_20221230-164911.jpg


Dakika tano tu, zishalainika kabisa, ningechelewa zingekua uji.

Nikakata kitunguu🧅 , nikaunga... Nikamalizia na tui la nazi 🥥.
Screenshot_20221230-165141.jpg


Ebana eeehhh... Tamu sana.

Nilikua nimepanga kupika na wali, halafu njugu ziwe mboga, nimebadili mawazo. Wali sipiki tena.

Nakula hizi hizi njugu kama main dish 🍚. Sema zinaniga, I think nahitaji juice hivi au chai/maziwa!!

Screenshot_20221230-164926.jpg


Muda niliotumia kuzibandika jikoni hadi naweka 🥥 ni dakika nane tu.
 
Nimenunua njugumawe nusu kilo.
Huku Makongo Juu wanauza 1 kg = 3,400

Nikachambua, nikatia kwenye thermos flask kisha nikaweka maji ya moto (100°c), nikafunga chupa. Hapo ilikua saa tatu usiku.
View attachment 2463489

Asubuhi nikafungua thermos, nikamimina njugumawe kwenye sufuria.
View attachment 2463490

Zilikua hazijalainika ile kuiva kabisa. Nikabandika sufuria kwa jiko.

Nikasema wakati zinachemka, nimalizie movie ya "Kill Chain - 2019" 📺
View attachment 2463493

Dakika tano tu, zishalainika kabisa, ningechelewa zingekua uji.

Nikakata kitunguu🧅 , nikaunga... Nikamalizia na tui la nazi 🥥.
View attachment 2463494

Ebana eeehhh... Tamu sana.

Nilikua nimepanga kupika na wali, halafu njugu ziwe mboga, nimebadili mawazo. Wali sipiki tena.

Nakula hizi hizi njugu kama main dish 🍚. Sema zinaniga, I think nahitaji juice hivi au chai/maziwa!!

View attachment 2463495

Muda niliotumia kuzibandika jikoni hadi naweka 🥥 ni dakika nane tu.
Hapo mkuu umepika usiku kucha 😅😅😅😅 Geto limeenea leta mdada wa Ardhi akusaidie majukumu ye anasevu kulipa chumba na wewe 'unapona' nadhani umeelewa 😎
 
Njugu na makande hapana kabisa, siwezi kula
 
Nimenunua njugumawe nusu kilo.
Huku Makongo Juu wanauza 1 kg = 3,400

Nikachambua, nikatia kwenye thermos flask kisha nikaweka maji ya moto (100°c), nikafunga chupa. Hapo ilikua saa tatu usiku.
View attachment 2463489

Asubuhi nikafungua thermos, nikamimina njugumawe kwenye sufuria.
View attachment 2463490

Zilikua hazijalainika ile kuiva kabisa. Nikabandika sufuria kwa jiko.

Nikasema wakati zinachemka, nimalizie movie ya "Kill Chain - 2019" 📺
View attachment 2463493

Dakika tano tu, zishalainika kabisa, ningechelewa zingekua uji.

Nikakata kitunguu🧅 , nikaunga... Nikamalizia na tui la nazi 🥥.
View attachment 2463494

Ebana eeehhh... Tamu sana.

Nilikua nimepanga kupika na wali, halafu njugu ziwe mboga, nimebadili mawazo. Wali sipiki tena.

Nakula hizi hizi njugu kama main dish 🍚. Sema zinaniga, I think nahitaji juice hivi au chai/maziwa!!

View attachment 2463495

Muda niliotumia kuzibandika jikoni hadi naweka 🥥 ni dakika nane tu.
Acha bangi mkuu🤣🤣
 
Hivi mfano nikiloweka maharage yanakuwa matamu kweli?kama ya kupikia kwa mkaa?
Sijawahi notice utofauti
Japo silowekagi
Ila nilishawahi kula yaliyofanywa hivyo.

Me nikiamka dk 70 kwenye electric pressure cooker napata maharage fresh.
 
Back
Top Bottom