Nimetumia dakika nane (8) kupika na kuivisha njugumawe!

Nimetumia dakika nane (8) kupika na kuivisha njugumawe!

Mimi huwa nikitaka kupika njugu mawe,kande,maharage n.k huwa nayaloweka kwenye maji usiku mzima asbh nabandika jikoni natumia lisaa tu yameiva
 
Nimenunua njugumawe nusu kilo.
Huku Makongo Juu wanauza 1 kg = 3,400

Nikachambua, nikatia kwenye thermos flask kisha nikaweka maji ya moto (100°c), nikafunga chupa. Hapo ilikua saa tatu usiku.
View attachment 2463489

Asubuhi nikafungua thermos, nikamimina njugumawe kwenye sufuria.
View attachment 2463490

Zilikua hazijalainika ile kuiva kabisa. Nikabandika sufuria kwa jiko.

Nikasema wakati zinachemka, nimalizie movie ya "Kill Chain - 2019" 📺
View attachment 2463493

Dakika tano tu, zishalainika kabisa, ningechelewa zingekua uji.

Nikakata kitunguu🧅 , nikaunga... Nikamalizia na tui la nazi 🥥.
View attachment 2463494

Ebana eeehhh... Tamu sana.

Nilikua nimepanga kupika na wali, halafu njugu ziwe mboga, nimebadili mawazo. Wali sipiki tena.

Nakula hizi hizi njugu kama main dish 🍚. Sema zinaniga, I think nahitaji juice hivi au chai/maziwa!!

View attachment 2463495

Muda niliotumia kuzibandika jikoni hadi naweka 🥥 ni dakika nane tu.
Ungeunga na nyanya.😂😂😂😂
 
Umenikumbusha mwaka jana . Zilibandikwa saa nane mpaka kumi na mbili chuma bado iko njema (yaani ndo kama umebandika).

Nadhani hazikuwa njugu zile, zilikuwa ni mawe
 
Nimenunua njugumawe nusu kilo.
Huku Makongo Juu wanauza 1 kg = 3,400

Nikachambua, nikatia kwenye thermos flask kisha nikaweka maji ya moto (100°c), nikafunga chupa. Hapo ilikua saa tatu usiku.
View attachment 2463489

Asubuhi nikafungua thermos, nikamimina njugumawe kwenye sufuria.
View attachment 2463490

Zilikua hazijalainika ile kuiva kabisa. Nikabandika sufuria kwa jiko.

Nikasema wakati zinachemka, nimalizie movie ya "Kill Chain - 2019" 📺
View attachment 2463493

Dakika tano tu, zishalainika kabisa, ningechelewa zingekua uji.

Nikakata kitunguu🧅 , nikaunga... Nikamalizia na tui la nazi 🥥.
View attachment 2463494

Ebana eeehhh... Tamu sana.

Nilikua nimepanga kupika na wali, halafu njugu ziwe mboga, nimebadili mawazo. Wali sipiki tena.

Nakula hizi hizi njugu kama main dish 🍚. Sema zinaniga, I think nahitaji juice hivi au chai/maziwa!!

View attachment 2463495

Muda niliotumia kuzibandika jikoni hadi naweka 🥥 ni dakika nane tu.
Hiyo nazi ulikuna au ndo zile za bakhresa?
 
Hongera.Hivi zikipikwa kwa style hiyo hazipotezi ladha?Njugu huwa nazila kwenye makande kuzila kama mboga nimezila mwa huu ugenini sikuzielewa kwakweli.
 
Back
Top Bottom