Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Dahh!!nimejaribu kula hivyo ila nimeshindwa.Napenda njugu na wali ooohhh....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dahh!!nimejaribu kula hivyo ila nimeshindwa.Napenda njugu na wali ooohhh....
Hata mimi siwezagi naona havinogi ntaweka sukari yenyewe tuDahh!!nimejaribu kula hivyo ila nimeshindwa.
Yes, hapo kidgo afadhari.Hata mimi siwezagi naona havinogi ntaweka sukari yenyewe tu
Ungeunga na nyanya.😂😂😂😂Nimenunua njugumawe nusu kilo.
Huku Makongo Juu wanauza 1 kg = 3,400
Nikachambua, nikatia kwenye thermos flask kisha nikaweka maji ya moto (100°c), nikafunga chupa. Hapo ilikua saa tatu usiku.
View attachment 2463489
Asubuhi nikafungua thermos, nikamimina njugumawe kwenye sufuria.
View attachment 2463490
Zilikua hazijalainika ile kuiva kabisa. Nikabandika sufuria kwa jiko.
Nikasema wakati zinachemka, nimalizie movie ya "Kill Chain - 2019" 📺
View attachment 2463493
Dakika tano tu, zishalainika kabisa, ningechelewa zingekua uji.
Nikakata kitunguu🧅 , nikaunga... Nikamalizia na tui la nazi 🥥.
View attachment 2463494
Ebana eeehhh... Tamu sana.
Nilikua nimepanga kupika na wali, halafu njugu ziwe mboga, nimebadili mawazo. Wali sipiki tena.
Nakula hizi hizi njugu kama main dish 🍚. Sema zinaniga, I think nahitaji juice hivi au chai/maziwa!!
View attachment 2463495
Muda niliotumia kuzibandika jikoni hadi naweka 🥥 ni dakika nane tu.
Nzuri sanaNapenda njugu na wali ooohhh....
Hiyo nazi ulikuna au ndo zile za bakhresa?Nimenunua njugumawe nusu kilo.
Huku Makongo Juu wanauza 1 kg = 3,400
Nikachambua, nikatia kwenye thermos flask kisha nikaweka maji ya moto (100°c), nikafunga chupa. Hapo ilikua saa tatu usiku.
View attachment 2463489
Asubuhi nikafungua thermos, nikamimina njugumawe kwenye sufuria.
View attachment 2463490
Zilikua hazijalainika ile kuiva kabisa. Nikabandika sufuria kwa jiko.
Nikasema wakati zinachemka, nimalizie movie ya "Kill Chain - 2019" 📺
View attachment 2463493
Dakika tano tu, zishalainika kabisa, ningechelewa zingekua uji.
Nikakata kitunguu🧅 , nikaunga... Nikamalizia na tui la nazi 🥥.
View attachment 2463494
Ebana eeehhh... Tamu sana.
Nilikua nimepanga kupika na wali, halafu njugu ziwe mboga, nimebadili mawazo. Wali sipiki tena.
Nakula hizi hizi njugu kama main dish 🍚. Sema zinaniga, I think nahitaji juice hivi au chai/maziwa!!
View attachment 2463495
Muda niliotumia kuzibandika jikoni hadi naweka 🥥 ni dakika nane tu.
Halafu kujamba sasa,ni kugusa tu😂Sijawahi kuzielewa hizo
Harufu na ladha yake ilishanishinda
Nazi yenyewe buku jero bado uangaike kukunaZa bakhresa.
Naanzaje kukuna hata mbuzi sina.
ongeza viungo vifuatavyo:Sijawahi kuzielewa hizo
Harufu na ladha yake ilishanishinda
Na kujamba huwa ni automatically unajikuta tayari, utashangaa harufu tu na nzi wakipiga doriaSijawahi kuzielewa hizo
Harufu na ladha yake ilishanishinda
Evelyn Salt NiMekU0Na UMelike kUle 👉 Mtu kASeMa hAPeNdi NjUGu.. .Napenda njugu na wali ooohhh....