Nimetumiwa sio mbaya nikishea na nyinyi ndugu zangu kama kuna ukweli itakuwa faida kwa wengine

Kapepo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2015
Posts
1,066
Reaction score
1,194
Habari njema kwa wagonjwa wa kisukari.....

Ni matarajio mtasambaza ujumbe huu naana huenda ukamsaidia muhitaji wa habari hii.

Kuna mwanamke wa miaka 65 aliekuwa na kisukari takriban miaka 20 au zaid na kila siku mara 2 akipata sindano za insulin.. Baada ya kutumia mchanganyiko huu wa dawa ya nyumban chini ya wiki amepona kabisa na anakula kila kitu mpaka vitu vitamu bila miiko.

Madaktari wamemshauri kuwacha kabisa kutumia insulin au dawa zozote nyingine za ugonjwa wa sukari.. Nakuombeni muusambaze ujumbe huu kwa watu wengi muwezavyo ili waweze kufaidika nao..
Kama ilivyopokelewa na dr. Tony almeida (bombay kidney specialist expert amefanya uchunguzi na majaribio kwa muda mrefu na kugundua tiba hii yenye mafanikio kwa ugonjwa wa kisukari. Muda sasa watu wengi ,waume kwa wake wamekuwa wakiteseka sana na kisukari.. Hivyo watumie mchanganyiko huu kama ifuaravyo:-
1. Ngano gram 100
2. Barley gram 100
3. Habat sowda 100 (gram)

Namna ya kutengeneza;-
Changanya vitu hivyo na maji vikombe 5. Chemsha (lchemke) kwa dakika 10 afu epua na uwache ipoe yenyewe.. Lkishapowa chuja na uhifadhi hayo maji dawa ndani ya jagi au chupa ya glasi. ( sio plastic)

Namna ya matumizi:-
Kikombe cha kahawa kila asubuhi kabla hujala kitu kwa siku 7.. Wiki itakayofuata utatumia kipimo hicho hicho lakini kwa kutumia siku moja na kuacha siku inayofuata.. Katika matumizi ya hizi wiki mbili utashangaa na kustaajabu hali yako itajavyoimarika na hata kuweza kula chakula kisicho miiko bila shida.

Ombi kwenu ni kuutuma na uwafike watu wengi iwezekanavyo ili wafaidike na tiba hii..

Kwa vile mchanganyiko huu wa tiba ni nafaka za kawaida tu hivyo hauna madhara yeyote kwa mtumiaji...
Nami nawashukuru woote watakaosambaza ujumbe huu ili uwasaidie wale wote wanaoteseka na gonjwa ovu hili.
 
Mbona kama vile ndiyo atakua anaongeza wanga mwilini mbao mwisho wa siku ni sukari?
 
Kiukweli Ina IAMINI DAWA MOJA TU LBADA NDO INA WEZAVKUEA INATIBU KISUKARI NAYO NI CHAI YA MAJANI YA MSTAFELI YAWE MABICHI AU MAKAVU SUKARI INASHUKA VEMA KABISAAA
Hebu fafanua hii inakuaje pia mkuu.
Niliona kwenye blog moja ya Fadhili Paul nikamuuliza maswali ya msingi kuhusu uandaaji ila hakunijibu.

Hio chai unachukua majani ya mstaferi halafu unayachemsha halafu unakuwa unakunywa yale maji yake au inakuwaje??
Maana kuna eneo nimeona wanasema ni juisi ya majani fresh unayatwanga.
 
Mkuu unaweza kutumia majani hayo yakiwa MABICHI au MAKAVU -:
MAKAVU
Chuma majani yako yakutosha yaanike ndani yakikauka chukua majani 2-3 weka kikombe 1na nusu Cha maji, chemsha Kama unavyo chemsha chai ya kawaida waweza kunywa yenyewe tu au ukaongeza hiliki,mchaichai, mdalasin
MABICHI
Tumia kiwango hicho hicho

N:B yakiwa makavu waweza ya saga na kutu za kwenye chombo chenye mfuniko na kutumia kijiko kidogo 1 kila asubuhi.sukari ikishuka acha kutumia
 

Tatizo sie waswahili tunapenda sana njia za mkato, kufanikiwa kimaisha tunaenda kwa mzee wa upako? kupona HIV tunaenda Loliondo kupata kikombe, ili apate kuolewa binti anaenda kuomba kwa nabii Mwingira?..yaani hakuna anayejishughulisha kwanza kujua tatizo la msingi ninini? mtu akijua ugonjwa wa kisukari unaanzaje mwilini kamwe hawezi kukubali upumbafu wa kunyweshwa majani hayo kwani kufanya hivyo ni sawa na imani ya kula kinyesi ukiamini kuwa utapona Typhoid
 

Tatizo sie waswahili tunapenda sana njia za mkato, kufanikiwa kimaisha tunaenda kwa mzee wa upako? kupona HIV tunaenda Loliondo kupata kikombe, ili apate kuolewa binti anaenda kuomba kwa nabii Mwingira?..yaani hakuna anayejishughulisha kwanza kujua tatizo la msingi ninini? mtu akijua ugonjwa wa kisukari unaanzaje mwilini kamwe hawezi kukubali upumbafu wa kunyweshwa majani hayo kwani kufanya hivyo ni sawa na imani ya kula kinyesi ukiamini kuwa utapona Typhoid
 
Umeandika kimipasho sana kwanza jua upo jukwaa gani halafu kama una cha kushare basi share kistaarabu na kama unaona ni usumbufu ungepita kimya tu kuliko hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani sana mkuu
Ubarikiwe mno...

Nimeipenda hio ya kuyaanika ndani halafu kuyasaga kisha kuyatumia kama majani ya chai.
Ni njia nyepesi sana na ninaona kama ina unafuu zaidi.

Ubarikiwe sana.
 
Umeandika kimipasho sana kwanza jua upo jukwaa gani halafu kama una cha kushare basi share kistaarabu na kama unaona ni usumbufu ungepita kimya tu kuliko hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Big No...kuna mambo inabidi yatamkwe kama yalivyo kwani haiwezekani kama kichwani mwa binaadamu mungu kaweka akili halafu akili hiyo inatumika visivyo na wengine wakae kimya? basi kama ni hivyo Amber Ruty leo asingekuwa mahakamani mzee.
 
Big No...kuna mambo inabidi yatamkwe kama yalivyo kwani haiwezekani kama kichwani mwa binaadamu mungu kaweka akili halafu akili hiyo inatumika visivyo na wengine wakae kimya? basi kama ni hivyo Amber Ruty leo asingekuwa mahakamani mzee.

Mkuu tatizo lako ni nini hasa? huziamni dawa za kienyeji au ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…