Mkuu hii ngumu kuielezea hapa, inahitaji faragha forum isije ikawa naye huwa anapitaga humu kama guest? Lakini hauko mbali na ukweli Mpwangoja nicheke kwanza then nitakuuliza kama ULIMTONGOZA,AU YEYE ALIKUTONGOZA!hahahahahhhhhahahahahah
Mkuu nashukuru lakini mbona sijaipata hiyo SENKS. Nenda kaiweke Mkuu. Mimi nimekutwangia SENKSDu hongera sana mkuu,naona unatekeleza ule ushauri wa wapwa kwamba kama unampenda na kumjali utamtambilisha kwa rafiki zako.Natamani ningekuwepo,nikajionea kwa masikio yangu mwenyewe.To be honest umetupa heshima kubwa sana,KWELI JF INAZIDI KUKUA.Oooh God sijakutwangia SENKS,ngoja nikaitwange.
SERIOUSLY??????😕
Jamani nimetunukiwa penzi, karibuni kwenye get together nitamtambulisha rasmi kipusa wangu kwa wapwa na mabinamu chini ya uangalizi wa Bwana Nguli na Bwana Fidel80.