Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huko?Habari wadau.
Nina wasiwasi hapa Leo usiku nilimpa nakozi paka anakula kuku wangu asubuhi mmiliki wake yu hoi watu wamejaa kwake. Paka nilimzika chooni.
Umelianzisha la kigetogeto akipona unaye huyo na huo mzoga wala huko kaburini haupo[emoji23]Habari wadau.
Nina wasiwasi hapa Leo usiku nilimpa nakozi paka anakula kuku wangu asubuhi mmiliki wake yu hoi watu wamejaa kwake. Paka nilimzika chooni.
Itakuwa kwenu TA Shemela.Duuh! Umenikumbusha mbali huko kwetu miaka ya nyuma kuna jirani aliwahi kuwaona paka usiku wanapiga kelele dirishani akawatusi mno kilichotokea mchana wake anatumwa mtu kumwambia kwamba aache kutukana watu hovyo usiku. lol
Wiki iliyopita mtaani Kwetu kuna Dogo Kaiiua Saa 5 Asubuhi ila Saa 12 Alfajiri Paka Mmoja Kubwa na Baya ( GENTAMYCINE ) nimemshuhudia aliuwawa na Mbwa Watatu jirani na Nyumba aliyojiua huyo Dogo na mpaka naandika hii post Mbwa Wawili bado wapo ICU Kibandani Kwao wakihitaji Maombi yetu Ili waendelee kuwa Hai.Habari wadau.
Nina wasiwasi hapa Leo usiku nilimpa nakozi paka anakula kuku wangu asubuhi mmiliki wake yu hoi watu wamejaa kwake. Paka nilimzika chooni.