Hata na mie nimepata shaka shem.Itakuwa kwenu TA Shemela.
Na kweli....ndo maana nahisj wewe ni mTA.Hata na mie nimepata shaka shem.
Sema Shem kuna miji inatuzidi eti 😀 huenda hata sio. 😀
Hahahaaa. Lol.Na kweli....ndo maana nahisj wewe ni mTA.
Mwamba kaisha maliza mwendo wa mtu🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Duh.......
Paka wanakula kuku vizuri tu.Hakuna PAKA anayekulaga kuku...
Ukiona hivyo ujue ni PAKA-MTU.
Umelianzisha la kigetogeto akipona unaye huyo na huo mzoga wala huko kaburini haupo[emoji23]
ataleta feedback ya jirani baadaye,Mwamba kaisha maliza mwendo wa mtu