Nimeufurahia utaratibu wa kuwaapisha wateule wa Rais; utaleta heshima na kutodharauliana

Unachofanya kwa Kiinglishi inaitwa, "Trying to save face!" Ahahahahahahah!!!
Kiingilishi ndiyo nini? Sema Kiingereza ( kwa Kiingereza ) Sasa kama Kuandika vyema huwezi unaweza 'Mpambano' wa Kimaneno nami?
 
Siyo kweli; hakuna DC wala DAS aliyewahi kuapishwa na rais katika historia ya nchi hii! Mchukie na mlaumu JPM kwa mambo yoyote yale aliyofanya lakini usimzushie ambayo hakufanya

Mkuu ni kweli kuna kipindi mwendazake aliwahi kuwaapisha Wakuu wa Mikoa,Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya Jijini Dodoma.

Mkuu wa Wilaya Mh Godwin Gondwe alitoa neno la shukrani kwa niaba ya Wakuu wa Wilaya wote walioapishwa siku hiyo.
 
Uamuzi mzuri sana, Nawaza Sabaya na Kiburi chake cha "uandakava"feki angeapa kwa mama mghwira kweli, ?
Bora hata JOJO amepelekwa Dar apate mwanaueme aise, maana uzazi kwa wanawake unakoma miaka ikifika 40, sasa ana miaka 35 hana hata mchumba.
Hujaona hadi picha umewekewa huko juu aliapa kwa Mgwira?

Mataahira nyie
 
Mkuu ni kweli kuna kipindi mwendazake aliwahi kuwaapisha Wakuu wa Mikoa,Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya Jijini Dodoma.

Mkuu wa Wilaya Mh Godwin Gondwe alitoa neno la shukrani kwa niaba ya Wakuu wa Wilaya wote walioapishwa siku hiyo.
GENTAMYCINE ukiona nang'ang' ania Jambo ( Kitu ) basi jua 100% nina uhakika nacho ndiyo maana unaona Watu ( Members ) wengi wananishambulia hapa ila bado 'nakomaa' nao tu kwani nilishashuhudia DC's wakiapishwa ( wakiapa ) mbele ya Mheshimiwa Rais Hayati Dkt. Magufuli na ndiyo maana ninajiamini katika huu Uzi na wanaonishangaa Mimi waanze Kwanza Kumshangaa aliyekuwa 'Number One Public Figure' wao Rais Magufuli.
 
To a ushahidi usilazimishe mambo kamanda
 
Hujaona hadi picha umewekewa huko juu aliapa kwa Mgwira?

Mataahira nyie
Una maoni gani kuhusu Ushuhuda wa Ukweli wa Post #109 hapo juu uliotolewa na Ngongo Mkuu? Nasubiri kwa hamu mno Mrejesho wako juu ya alichosema ( alichoandika )
 
Una maoni gani kuhusu Ushuhuda wa Ukweli wa Post #109 hapo juu uliotolewa na Ngongo Mkuu? Nasubiri kwa hamu mno Mrejesho wako juu ya alichosema ( alichoandika )
Mwambie aweke picha au video!

Na pia atwambie kama kweli jiwe alifanya hivyo je alikiuka kifungu gani cha katiba,

Na ili asiwe popoma itapendeza akiweka na vifungu kabisa.
 
Mwambie aweke picha au video!

Na pia atwambie kama kweli jiwe alifanya hivyo je alikiuka kifungu gani cha katiba,

Na ili asiwe popoma itapendeza akiweka na vifungu kabisa.
Kama umeshaambiwa na hadi Kuthibitishiwa na Ngongo kuwa Tendo hilo lilifanyika na DC Gondwe akainuliwa Kuzungumza kwa niaba ya DC's wote pale Ikulu inakushinda nini Wewe muda huu kuingia huko 'YouTube' na ukajiridhisha? Uliniita ( ulituita ) Matahaira sasa kwa huu Upumbavu ( Upopoma ) wako kati yetu na Wewe 'Taahira Mwandamizi' atakuwa ni nani?
 
We bwege nini? Nimekwambia toa ushahidi watu wakuelewe sio utukane kama mama wauswahilini...
Pumbavu Ushahidi umeshapewa na Ngongo katika post yake #109 na ni Jukumu lako sasa kwenda 'YouTube' ukajiridhisha na siyo kunipotezea / kutupotezea muda Watu wenye Akili Kubwa za Kiyahudi, Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi sawa?
 
DC Godwin Gondwe alivyoteuliwa na DC's wenzake waliapishwa na nani na wapi? Na DC Gondwe kwanini aliitwa kwenda mbele ya Rais Kuzungumza kwa niaba ya DC's wote mara baada ya Kuapa mbele ya Hayati Rais Dkt. Magufuli?
 
Pumbavu Ushahidi umeshapewa na Ngongo katika post yake #109 na ni Jukumu lako sasa kwenda 'YouTube' ukajiridhisha na siyo kunipotezea / kutupotezea muda Watu wenye Akili Kubwa za Kiyahudi, Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi sawa?
Unakunywaga gongo asubuhiii au ni bange!? Anyways hata iwe ilitokea kwa dharura kwani ndiyo ilikuwa kawaida? Huna point yamsingi ujue pia kwenye hayo makabila unayojilazimishia kuna mataahira kamawewe
 
Yani wewe unataka tukuamini kwa maneno ya ngongo?

Leteni ushahidi wa jiwe akiapisha ma dc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…