Nimeumbuka, naomba msaada wa kisaikolojia ndg zangu!

Nimeumbuka, naomba msaada wa kisaikolojia ndg zangu!

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
997
Reaction score
1,220
Nilikuwa naongea na watoto (wanafunzi) kama 100 hivi. Basi katikati ya maongezi ikanijia chafya, nikaziba mdomo tu nilijua kuwa sina tatizo lolote na ni chafya ya kawaida tu kama zile zingine. Ajabu ni kuwa nilipopiga tu ile chafya lilitokea pande kubwa puani la kamasi mbichi na nzito sana loliloenda kumuangukia kwenye paji la uso mmoja ya wasichana waliokaa pale. Sina mafua Wala kikohozi Sasa hiki ni nini?!!! Nahisi Kuna mtu kanichezea mchezo wa kishirikina Ili niumbuke.......na kweli nimeumbuka kwani nimechekwa mno na kushindwa kuendelea tena kuongea. Mawazo yenu wadau.
 
Nilikuwa naongea na watoto (wanafunzi) kama 100 hivi. Basi katikati ya maongezi ikanijia chafya, nikaziba mdomo tu nilijua kuwa sina tatizo lolote na ni chafya ya kawaida tu kama zile zingine. Ajabu ni kuwa nilipopiga tu ile chafya lilitokea pande kubwa puani la kamasi mbichi na nzito sana loliloenda kumuangukia kwenye paji la uso mmoja ya wasichana waliokaa pale. Sina mafua Wala kikohozi Sasa hiki ni nini?!!! Nahisi Kuna mtu kanichezea mchezo wa kishirikina Ili niumbuke.......na kweli nimeumbuka kwani nimechekwa mno na kushindwa kuendelea tena kuongea. Mawazo yenu wadau.
We Dr wa Manesi hukujamba..!!??
 
Pole sana sipati picha Mkuu we kaza hivyo hivyo tu mambo yataisha wataongea watacheka shauli yao
 
Uwe na leso next time usichukulie poa chafya
 
Nilikuwa naongea na watoto (wanafunzi) kama 100 hivi. Basi katikati ya maongezi ikanijia chafya, nikaziba mdomo tu nilijua kuwa sina tatizo lolote na ni chafya ya kawaida tu kama zile zingine. Ajabu ni kuwa nilipopiga tu ile chafya lilitokea pande kubwa puani la kamasi mbichi na nzito sana loliloenda kumuangukia kwenye paji la uso mmoja ya wasichana waliokaa pale. Sina mafua Wala kikohozi Sasa hiki ni nini?!!! Nahisi Kuna mtu kanichezea mchezo wa kishirikina Ili niumbuke.......na kweli nimeumbuka kwani nimechekwa mno na kushindwa kuendelea tena kuongea. Mawazo yenu wadau.
😀😀😀 acha haibu mtoto wa kiume utakiwi kuwa na haibu inabid uwe na sura mbuzi
 
Uhuru wa kila mtu kujianzishia threads umezidi sasa,,,,, hata mtu akijamba atakuja kusema hapa
 
Back
Top Bottom