Nimeumbwa niwe single?


hahahahahahahaha
 
fanya mambo mengine ya kimaendeleo kwanza miaka 23 ndio unapanic hivyo, wana umri gani hao unaowafuata kwenye pitapita zako
 
Wee mvulana hiyo ndude haikuwekwa kwa ajili ya kufanyia matusi tu bali kwa matumizi ya kukojolea...itumie kwa lengo lililokusudiwa na manufacture!
 
MIAKA ISHIRINI NA TATU UNAHITAJI FAMILIA? AMA UNATENGENEZA MAMBO KUELEKEA KWENYE FAMILIA


WE KABILA GANI NA DINI GANI
 
fanya mambo mengine ya kimaendeleo kwanza miaka 23 ndio unapanic hivyo, wana umri gani hao unaowafuata kwenye pitapita zako
Umri kama mimi others pass by me 2 yrs
 
umri wa 23 yrs unaanza kulalamika kuhusu ndoa tafuta maisha ndoa itakuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…