Umechoka kuumia? KufaLeo nimekutana na mtoto mzuriii mweupee mwembamba dah, nimempenda nikamsalimia akaitikia vizuriiii nikashindwa kumsimamisha roho imeniuma sana jamani
Kutenda sasaYaani we kiazi kweli wenzio tukiona mazingiria sio mazuri au unahofu ya kukataliwa au hauko katika mood tunaombaga number hakuna kitu chepesi km kuomba number.
Samahani mrembo nimekuelewa japo tuwe marafiki Naomba usinifikirie vibaya tunaweza kubadilishana number akikataa mpe hata yako hapo uwezi kujilaumu maana nafsi inasema lkn nimejaribu.
Sio uzembe mkuu mazingira niliyokutana nae ni magumu sana , watu wengi Pembeni na alikuwa akiangaliwa na wengi nikakosa poziPunguza uzembe...
Yaani we kiazi kweli wenzio tukiona mazingiria sio mazuri au unahofu ya kukataliwa au hauko katika mood tunaombaga number hakuna kitu chepesi km kuomba number.
Samahani mrembo nimekuelewa japo tuwe marafiki Naomba usinifikirie vibaya tunaweza kubadilishana number akikataa mpe hata yako hapo uwezi kujilaumu maana nafsi inasema lkn nimejaribu.
endelea kuumia