Nimeumia sana! Nisamehe E, sitakuchafua tena

Jamaa naona ulikula kitu mnato!

wife ni kitu gani bhana fanya ile kitu roho na mwili inataka
 
Yaan huu uzi umenifanya nigundue kuwa asilimia kubwa yamember wahumu jf niwaaminifu katika ndoa/mahusiano yao japo sio wote kwasababu wengi wetu tumekilaani sana hiki kitendo alichofanya member mwenzetu
Duh! Basi wewe ni rahisi kutapeliwa....... Hawana lolote ni Wanafiki mkuu, wanaongea kisichokuwepo Moyoni mwao!
 
Na story yenyewe jana Diva kafanya nayo yake Clouds......Subiri mziki wa Mke sasa, manake wenzetu kwa kisasi hawajambo
 
Duh! Basi wewe ni rahisi kutapeliwa....... Hawana lolote ni Wanafiki mkuu, wanaongea kisichokuwepo Moyoni mwao!
mh kwel? mbona wanalaan sana aise bac kama niwanafki mungu anawaona wajue
 
Duh! Basi wewe ni rahisi kutapeliwa....... Hawana lolote ni Wanafiki mkuu, wanaongea kisichokuwepo Moyoni mwao!
Haaaa haaaa haaa ....yani mi mwenyewe kanichekesha balaa!

Humu full maigizo, mwanaume sio kiumbe cha spot spot!
 
mh kwel? mbona wanalaan sana aise bac kama niwanafki mungu anawaona wajue
Yaani mkuu ukiwa humu usiamini kila kinachosimuliwa! Hata mleta mada kama story yake ya kweli alichotwambia humu sio kama vile kilivyo katika uhalisia wake

Akili kumkichwa! Shtuka!
 
Hivi ni mimi tu ndie ninae ona kuwa hii ni story ya kutunga?
Hahahahahahahahaaaaaaaaa....

Utakuwa ni wewe peke yako mkuu,maana sijaona mtu mwingine anaye doubt hii stori.

Naona baada ya stori watu waote wamesema 'Amina'
 
Wife wako nae kagongwa huko ndio maana aliota jeuri....ww huku unaomba ushauri wa kukonfes...thevworld iz not fair
 
Basi sawa
 
kupeana genye tu lunch time sa hizi!
psyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
SI UNGEWEKA TU KIFUPI
NIMET....A HALAFU SIJAMALIZA MKE WANGU AKAPIGA SIMU!

enh short and clear!
sio mara mapaja sijui haijaingia vizuri sijui kapiga kelele!
SIFA TU!
nkt!
 
Hivi mtu unamchumbiaje dem alaf unasepa kwa miaka 8??

Hiki ni sawa na kifungo cha nje tu kwa huyo E,wakati jamaa yake anawatoto kadhaa na mzungu huko.
 
Pyeeee

Hapa naona ulikuwa unatafuta kila njia ili ugonge nje

Uneona wapi mke na mume wanatengana vyumba????


Kaungame dhambi yako kwa mkeo
 
Kaka, pole sana, ni miaka minne sasa, ningependa kujua E yupo wapi, wewe upo wapi na mkeo yupo wapi? Ulisovu hii ishu? Hakukutegeshea mimba huyo E?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…