INTERGRITY
JF-Expert Member
- Jan 19, 2021
- 394
- 1,482
Ndugu katika bwana,namna pekee ya huyo E kukusahahu ni kunipatia mawasiliano yake, nitampa penzi mpka asikuzoee tena, najua tunaheshimiana sana mimi na wewe, naomba unipatie namba ya E kwa inbox pls na utabarikiwa kwa hiki kidogo unachotoa