I INTERGRITY JF-Expert Member Joined Jan 19, 2021 Posts 394 Reaction score 1,482 Jul 5, 2021 #261 Ndugu katika bwana,namna pekee ya huyo E kukusahahu ni kunipatia mawasiliano yake, nitampa penzi mpka asikuzoee tena, najua tunaheshimiana sana mimi na wewe, naomba unipatie namba ya E kwa inbox pls na utabarikiwa kwa hiki kidogo unachotoa
Ndugu katika bwana,namna pekee ya huyo E kukusahahu ni kunipatia mawasiliano yake, nitampa penzi mpka asikuzoee tena, najua tunaheshimiana sana mimi na wewe, naomba unipatie namba ya E kwa inbox pls na utabarikiwa kwa hiki kidogo unachotoa
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 Jul 5, 2021 #262 Sitaki nataka!
platozoom JF-Expert Member Joined Jan 24, 2012 Posts 9,424 Reaction score 11,320 Jul 5, 2021 #263 snowhite said: Hahhahshahshahs tumezeeka ujue. Hivi ni mimi ndo niiliandika hivyo ? Hahaha upo we fala? Click to expand... Sasa niende wapi Wanasema wine ya miaka mingi tamu sana
snowhite said: Hahhahshahshahs tumezeeka ujue. Hivi ni mimi ndo niiliandika hivyo ? Hahaha upo we fala? Click to expand... Sasa niende wapi Wanasema wine ya miaka mingi tamu sana
snowhite JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 18,065 Reaction score 24,559 Jul 5, 2021 #264 platozoom said: Sasa niende wapi Wanasema wine ya miaka mingi tamu sana Click to expand... Ndo wewe sasa! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
platozoom said: Sasa niende wapi Wanasema wine ya miaka mingi tamu sana Click to expand... Ndo wewe sasa! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nchi Kavu JF-Expert Member Joined Sep 11, 2010 Posts 4,290 Reaction score 2,468 Jul 5, 2021 #265 Nimesoma uzi wako wote ila unapotumia hiyo 'as' yako mh...!