Nimeumizwa sana na Hili la TAMISEMI:

Nimeumizwa sana na Hili la TAMISEMI:

Vumilia ndugu yangu nami natokea hapo JUCO ila vumilia wanasema mpaka tarere 15, mimi ni darfuu member tupo pamoja

Ha ha ha umenikumbusha mbali sana mpe hai ngosha aya yote kasababisha polcapy mpaka time hii tupo kitaa shenz iiii sana yule father
 
dah!hv kuna mtu aliyetoka tamisemi baada ya tar 1 april?
 
Tatizo mnalialia hapa mkishapangwa huko vijijini mnaanza kuleta mapozi!Kuna thread nyingi humu eti wanadai wamepoteza moral,lakini ni juzi mlikuwa mnalalamika post kuchelewa.Pole kijana subira yavuta kheri.
 
lakini Fiati kwnn kila mwaka watu wanalalamika,serikali kwnn isiwaboreshee walimu mazingira ya kufundishia?
 
Wazo lakuelekea Dodoma ofisi kuu TAMISEMI ifikapo tar 1/5 lipo???????????????.
 
Back
Top Bottom