Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣 mwambie ahakikishe anakunyw Maji ya kutosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na atakomaaaa mbna. Na alivyo mbishi sasa mweeeeh
IamBrianLeeSnr kaoge na maji ya bahari😀 ulete mrejeshoHebu muambie huyo mshikaji wako, mie nampenda sanaaaa, sijiwezii kwakee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sasa wewe weka picha tukufahamu unajificha sana au una matege😀 weka passport[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mchagaa niwachee kwanii.
Sasa huyo babuu unamsikilizaa naweee??
Muambie mdogo ako mgonjwa nikutane nae live afu alete mrejeshoo JF. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
haha sasa wewe mbona unapend pasipokuw na mapenzi ya kweli. Njoo huku owa Mrombo upate supu ya mbuzi😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ntakuua wallah. Msumbufuu.
Hilo ni jambo jema mkuu, kwasasa koo utakua unachambia juice ya bariiid....😋Hahahaaa hapana kiongozi....Nasimama kwa mdaa hadi nitakapo tengemaa vizuri kiafya😂😂😂
Pole sana ndugu Malaria pamoja na kutokunywa maji ya kutosha, maji ndio tatizo kubwa.View attachment 2633655
Hapa sasa ndio nimepata nafuu kidogo, Ni tumbo lilikua linanisumbua/linakata sana usawa juu kushuka kitovuni, Nimeshindwa kula chochote siku nzima ya leo...
Maombi yenu please nipate ahueni mapema..
Ahsante..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] mwambie ahakikishe anakunyw Maji ya kutosha
IamBrianLeeSnr kaoge na maji ya bahari[emoji3] ulete mrejesho
sasa wewe weka picha tukufahamu unajificha sana au una matege[emoji3] weka passport
haha sasa wewe mbona unapend pasipokuw na mapenzi ya kweli. Njoo huku owa Mrombo upate supu ya mbuzi[emoji3]
Pia kma ukitaka dawa ya Ulcers nambieSawa nitafanya hivyo Amina!
Ukipona unaacha pombe?Wameniambia vidonda vya tumbo, Vimesababishwa na pombe kali...
Ukiomba kuombewa huku jamiiforum unakutana na maombi ya waganga na wachawi.Wadau wengi walioandika nyuzi za namna hii hawakutoboa sijui kwa nini
Ndio naacha kabisa..Ukipona unaacha pombe?
Ahsante sana kaka..Pole sana bro
Kweli yani ndio ninayopitia wakati huu, Mateso makali acha tu mkuu..Hatarii sanaa unaumwaaa viungoo vinaumaa hatarii.. Ukiponaa zile siku 3 mbelee ni kama bado unaumwaa unasweat kama mwendawazimui[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Aisee huu ugonjwaa hatariii
😂😂😂 Naamini sio wote wenye imani batili mkuu...Ukiomba kuombewa huku jamiiforum unakutana na maombi ya waganga na wachawi.
Futa uzi wako mkuu
Sawa nitakujulisha mkuu...Pia kma ukitaka dawa ya Ulcers nambie
😂😂😂😂 yaniVijana wa sikuhiz 💩💩 kuumwa tumbo hadi unapost..? Nini cha ajabu au ni period?
Hapana walicheki malaria sina na maji kiwango chake mwilini kipo sawa kabisa, Shida ni bakteria tumboni, Nashukuru nimewahi bado hajakuwa sana...Pole sana ndugu Malaria pamoja na kutokunywa maji ya kutosha, maji ndio tatizo kubwa.
ViizuriNdio naacha kabisa..
Sawa yani ni lazima sio kwa mateso haya...Viizuri