mrelbattawy
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 564
- 112
''Jamuhuri ya muungano wa Tanzania ni nchi na shirikisho lenye mamlaka kamili ambalo limetokana na Muungano wa nchi 2 za jamuhuli ya Tanganyika na Zanzibar ambazo kabla ya hati ya makubaliano ya Mungano wa mwaka 1964, zilikuwa nchi huru.,''
My Take: Kama Jamuhuli ya Muungano ni NCHI ya shirikisho lenye mamlaka hizi nchi nyengine Tanganyika na Zanzibar zitakuwa na nini?
Kwa mtazamo wangu wa haraka haraka hapa ni kwamba Nchi moja kubwa ambayo ni ya Muungano itakuwa na mamlaka kuizimeza nchi 2 ndogo, na si dhani kama hizi nchi nyengine zitakuwa nchi kweli hapa kwa wale ndugu zetu kule visiwa vya kalafuu Zanzibar watakuwa wamepigwa changa la macho,
Ningeshauli waendelee na mfumo uliopo kwa kadhia hii itakayokuja kuwapata ndugu zetu kule Zanzibara ambao walipindua na kupata uhulu wao.
Ivi muunago wa shirikisho umewahi kuwa ni nchi duniani? kuna nchi duniani yaitwa muungano?
Kibaya Zaidi lasimu pia imeeleza mipaka ya JMT itakuwa yote ya Tanganyika na Zanzibar: ndugu hapa hakuna mabadiliko ni kumezwa zaidi.
kwenu wanajamvi..
My Take: Kama Jamuhuli ya Muungano ni NCHI ya shirikisho lenye mamlaka hizi nchi nyengine Tanganyika na Zanzibar zitakuwa na nini?
Kwa mtazamo wangu wa haraka haraka hapa ni kwamba Nchi moja kubwa ambayo ni ya Muungano itakuwa na mamlaka kuizimeza nchi 2 ndogo, na si dhani kama hizi nchi nyengine zitakuwa nchi kweli hapa kwa wale ndugu zetu kule visiwa vya kalafuu Zanzibar watakuwa wamepigwa changa la macho,
Ningeshauli waendelee na mfumo uliopo kwa kadhia hii itakayokuja kuwapata ndugu zetu kule Zanzibara ambao walipindua na kupata uhulu wao.
Ivi muunago wa shirikisho umewahi kuwa ni nchi duniani? kuna nchi duniani yaitwa muungano?
Kibaya Zaidi lasimu pia imeeleza mipaka ya JMT itakuwa yote ya Tanganyika na Zanzibar: ndugu hapa hakuna mabadiliko ni kumezwa zaidi.
kwenu wanajamvi..