Nimeumwa na Kichwa Baada ya Kuisoma Definition ya Serikali ya J/Muungano kwenye Rasimu ya 2

Nimeumwa na Kichwa Baada ya Kuisoma Definition ya Serikali ya J/Muungano kwenye Rasimu ya 2

mrelbattawy

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2013
Posts
564
Reaction score
112
''Jamuhuri ya muungano wa Tanzania ni nchi na shirikisho lenye mamlaka kamili ambalo limetokana na Muungano wa nchi 2 za jamuhuli ya Tanganyika na Zanzibar ambazo kabla ya hati ya makubaliano ya Mungano wa mwaka 1964, zilikuwa nchi huru.,''

My Take: Kama Jamuhuli ya Muungano ni NCHI ya shirikisho lenye mamlaka hizi nchi nyengine Tanganyika na Zanzibar zitakuwa na nini?

Kwa mtazamo wangu wa haraka haraka hapa ni kwamba Nchi moja kubwa ambayo ni ya Muungano itakuwa na mamlaka kuizimeza nchi 2 ndogo, na si dhani kama hizi nchi nyengine zitakuwa nchi kweli hapa kwa wale ndugu zetu kule visiwa vya kalafuu Zanzibar watakuwa wamepigwa changa la macho,

Ningeshauli waendelee na mfumo uliopo kwa kadhia hii itakayokuja kuwapata ndugu zetu kule Zanzibara ambao walipindua na kupata uhulu wao.

Ivi muunago wa shirikisho umewahi kuwa ni nchi duniani? kuna nchi duniani yaitwa muungano?

Kibaya Zaidi lasimu pia imeeleza mipaka ya JMT itakuwa yote ya Tanganyika na Zanzibar: ndugu hapa hakuna mabadiliko ni kumezwa zaidi.

kwenu wanajamvi..

 
Shirikisho la Ujerumani ndiko watakuwa wameiga huko hiyo tafsiri., sasa kama ni muungano wa nchi 2 huru, je Tanganyika ipo wapi?
 
Hilo changa la macho wa engereza wanasema funika kovu mwanaharamu apite
 
Isome katiba yote usipitie vipande vipande utaona muungano huu tulio nao sasa ndio kilikuwa kiini macho zaidi na soi hii ya sasa.Soma mambo na wizara zitakazokuwa chini ya JMT hazizidi saba lakini huko nyuma je?Muundo wa serikali mbili kwa sasa umepitwa na wakati baada ya CCM kuruhusu Zanzibar kuwa na katiba yake ,wimbo wa taifa nk
 
Isome katiba yote usipitie vipande vipande utaona muungano huu tulio nao sasa ndio kilikuwa kiini macho zaidi na soi hii ya sasa.Soma mambo na wizara zitakazokuwa chini ya JMT hazizidi saba lakini huko nyuma je?Muundo wa serikali mbili kwa sasa umepitwa na wakati baada ya CCM kuruhusu Zanzibar kuwa na katiba yake ,wimbo wa taifa nk

Ulikuwa unatiririka vizuri lakin unaposema zanzibar kutokuwa na katiba yk na wimbo wa taifa sasa utakuwa umepotoka.,

Hata katiba yote uipitie mara 100 zaidi., kama mamlaka ya nchi washirika yapo kwenye serikali ya Muungano hizi nchi nyengine zitakuwa vibogoyo tu.,
 
Rais wa muungano ndo atakuja kuwa kama queen wa uingereza. Atakuwepo kuwepo tu kama symbol.
 
Rais wa JMT hana mamlaka makubwa zaidi wa wakati wa vita na kudumisha amani... Rais mwenye deal ni wa Tanganyika kwa kuwa anashughulikia uchumi.
 
Shirikisho la Ujerumani ndiko watakuwa wameiga huko hiyo tafsiri., sasa kama ni muungano wa nchi 2 huru, je Tanganyika ipo wapi?
hawajasema nchi mbili huru. rasimu imesema kabla ya muungano wa mwaka 1964 zilikuwa nchi huru.
 
hawajasema nchi mbili huru. rasimu imesema kabla ya muungano wa mwaka 1964 zilikuwa nchi huru.

kwaiyo sivi zile nchi bado zimetawaliwa kama siyo huru., hiyo ndio lugha fupi isiyo mashaka
 
''Jamuhuri ya muungano wa Tanzania ni nchi na shirikisho lenye mamlaka kamili ambalo limetokana na Muungano wa nchi 2 za jamuhuli ya Tanganyika na Zanzibar ambazo kabla ya hati ya makubaliano ya Mungano wa mwaka 1964, zilikuwa nchi huru.,''

My Take: Kama Jamuhuli ya Muungano ni NCHI ya shirikisho lenye mamlaka hizi nchi nyengine Tanganyika na Zanzibar zitakuwa na nini?

Kwa mtazamo wangu wa haraka haraka hapa ni kwamba Nchi moja kubwa ambayo ni ya Muungano itakuwa na mamlaka kuizimeza nchi 2 ndogo, na si dhani kama hizi nchi nyengine zitakuwa nchi kweli hapa kwa wale ndugu zetu kule visiwa vya kalafuu Zanzibar watakuwa wamepigwa changa la macho,

Ningeshauli waendelee na mfumo uliopo kwa kadhia hii itakayokuja kuwapata ndugu zetu kule Zanzibara ambao walipindua na kupata uhulu wao.

Ivi muunago wa shirikisho umewahi kuwa ni nchi duniani? kuna nchi duniani yaitwa muungano?

Kibaya Zaidi lasimu pia imeeleza mipaka ya JMT itakuwa yote ya Tanganyika na Zanzibar: ndugu hapa hakuna mabadiliko ni kumezwa zaidi.

kwenu wanajamvi..


Shirikisho ni mkusanyiko wa nchi sasa kinakuchanganya nini?
 
Ulikuwa unatiririka vizuri lakin unaposema zanzibar kutokuwa na katiba yk na wimbo wa taifa sasa utakuwa umepotoka.,

Hata katiba yote uipitie mara 100 zaidi., kama mamlaka ya nchi washirika yapo kwenye serikali ya Muungano hizi nchi nyengine zitakuwa vibogoyo tu.,


Kama ilivyokuwa Zanzibar sasa na Tanganyika isalimishe mamlaka na uhuru wake kwenye shirikisho. Hapo mwanzo Tanganyika ilikuwa huru na mamlaka kamili.
 
Ukisoma vizuri rasimu utagundua kuwa Tume imejaribu kutatua matatizo au kero za Muungano wa sasa kwa kiasi kikubwa. Hatahivyo, ni lazima nchi hizi mbili Tanganyika na Znz zikubali kuachiamamlaka Fulani kwa Serikali ya JMT. There must be a compromise for the federation to be in place.

Kwa mbali naona wabunge wa vyama vya upinzani kipnga vikali mfumo wa uundwaji wa tume huru ya uchaguzi sababu rasimu imempa Rais madaraka ya uteuzi.This has been contested by the opposition since 1992 for it doesn't favor a level playing field during election
 
Wazanzibar waache kuogopa ogopa, matatizo haya ya Muungano dawa ni Nchi Moja tu! Wao wanaogopa utafikiri Watanganyika ni Waarabu bwana!
 
''Jamuhuri ya muungano wa Tanzania ni nchi na shirikisho lenye mamlaka kamili ambalo limetokana na Muungano wa nchi 2 za jamuhuli ya Tanganyika na Zanzibar ambazo kabla ya hati ya makubaliano ya Mungano wa mwaka 1964, zilikuwa nchi huru.,''

My Take: Kama Jamuhuli ya Muungano ni NCHI ya shirikisho lenye mamlaka hizi nchi nyengine Tanganyika na Zanzibar zitakuwa na nini?

Kwa mtazamo wangu wa haraka haraka hapa ni kwamba Nchi moja kubwa ambayo ni ya Muungano itakuwa na mamlaka kuizimeza nchi 2 ndogo, na si dhani kama hizi nchi nyengine zitakuwa nchi kweli hapa kwa wale ndugu zetu kule visiwa vya kalafuu Zanzibar watakuwa wamepigwa changa la macho,

Ningeshauli waendelee na mfumo uliopo kwa kadhia hii itakayokuja kuwapata ndugu zetu kule Zanzibara ambao walipindua na kupata uhulu wao.

Ivi muunago wa shirikisho umewahi kuwa ni nchi duniani? kuna nchi duniani yaitwa muungano?

Kibaya Zaidi lasimu pia imeeleza mipaka ya JMT itakuwa yote ya Tanganyika na Zanzibar: ndugu hapa hakuna mabadiliko ni kumezwa zaidi.

kwenu wanajamvi..

[/QUOTE

tanganyiaka itabaki kua tanganyika ....zanzibar itabaki kua zanzibar na jamuhuri ya muungano ...itabaki kuwa jamuhuri ya muungano.
 
Shirikisho ni mkusanyiko wa nchi sasa kinakuchanganya nini?

Kinacho changanya ni hilo shirikisho kuitwa Nchi katika tafsiri yake., badala ya kuitwa shirikisho tu., ili nchi zibaki kuwa zile zile 2 ya Zanzibar na Tanganyika na ndivyo miungano yote inavyokuwa duniani., ilikuwa iitwe ivi ''shirikisho la muungano wa nchi za Tanzania''
 
Wazanzibar waache kuogopa ogopa, matatizo haya ya Muungano dawa ni Nchi Moja tu! Wao wanaogopa utafikiri Watanganyika ni Waarabu bwana!

siyo ww ni njaa yako tu iyo samuel 6 anakugaia elf4 kwa siku., muda unao bado mshawishi warioba na JK waifaye nchi 1
 
Back
Top Bottom