johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Huu utaratibu ni mzuri sana.
Kwenye mambo ya kimataifa na mikataba nyeti unamkuta Prof Kabudi
Ukija kwenye Ulinzi na Usalama unamkuta mzee Mkuchika
Utawala wa ndani unamkuta mzee Lukuvi
Kule kwenye Siasa za Maridhiano utamkuta Nguli la siasa za Bongo Komredi Wassira
Mungu wa mbinguni akubariki sana Rais Samia!
Kwenye mambo ya kimataifa na mikataba nyeti unamkuta Prof Kabudi
Ukija kwenye Ulinzi na Usalama unamkuta mzee Mkuchika
Utawala wa ndani unamkuta mzee Lukuvi
Kule kwenye Siasa za Maridhiano utamkuta Nguli la siasa za Bongo Komredi Wassira
Mungu wa mbinguni akubariki sana Rais Samia!