Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan unawah wapi mkuu ? C uandike taratibu tu tutakuelewa...Naam, nawapasha na we zangu kuwa kwa macho yangu nimeshuhudia mwezi mtukufu umeandama.M/Mungu away alien fungal njema.
Ndiyo hadi mikono inatetemeka unavyoandika?😂😂😂Naam, nawapasha na we zangu kuwa kwa macho yangu nimeshuhudia mwezi mtukufu umeandama.M/Mungu away alien fungal njema.
Naam, nawapasha na we zangu kuwa kwa macho yangu nimeshuhudia mwezi mtukufu umeandama.M/Mungu away alien fungal njema.
Mimi simo.kwahiyo kuanzia kesho mnaanza kubadili muda wa kula samahani mnaanza kufunga
Anawahi kuvunja junguNdiyo hadi mikono inatetemeka unavyoandika?😂😂😂
Awe makini asijevunjika na yeye.Anawahi kuvunja jungu
Ndo maana Bei ya nyama ya taifa juuAwe makini asijevunjika na yeye.
Thread yako ingekuwa na mantiki kama ungeuona mwezi jana ijumaa tarehe 1 April.Naam, nawapasha na we zangu kuwa kwa macho yangu nimeshuhudia mwezi mtukufu umeandama.M/Mungu away alien fungal njema.
Yani kaandika kama anakimbizwa 😂😂😂😂Thread yako ingekuwa na mantiki kama ungeuona mwezi jana ijumaa tarehe 1 April.
Lakini kwa mahesabu kesho jumapili tarehe ni Ramadhan wala akuhitajiki tena swala la kuona mwezi.
Halafu hiyo device yako angalia keyboard settings ondowa prediction ili usiwe unachekesha wakati wa kutype.
Huwa wananenepa sana wakati wa Ramadhani.kwahiyo kuanzia kesho mnaanza kubadili muda wa kula samahani mnaanza kufunga
Kweli kabisa mkuu halafu huwa wanapumua kwa shida kwa sababu ya kula kupita kipimoHuwa wananenepa sana wakati wa Ramadhani.
Kweli kabisa mkuu halafu huwa wanapumua kwa shida kwa sababu ya kula kupita kipimo