[emoji24][emoji24][emoji24] Aiseeee Sijui nifanye nini mimi mtoto wa watu lakiniKwanini usipongezwe wakati umetiza ndoto zako.Tafsiri ya mafanikio ni tofauti kati ya mtu na mtu,mtu mmoja mafanikio ni nyumba,mwingine simu n.k.
Kwa mara nyingine hongera sana mkuu kwa kutimiza ndoto zako.
Ayaaaaaa, sasa itakuwa na maana gani kama nitafungwa? Sibora nikimbia mkoa nivunje vunje na lain? [emoji24][emoji24] Dah kweli wanaume tumeumbiwa matesoUsijali kufungwa ww jali kurudisha kiwanja chako mkuu
100% wanaonzisha nyuzi za aina hii ni me! Binafsi nashindwa elewa! Shida nini? Kwa siku ni nyuzi hizi hizi na ni wanaume🚮Hivi mnavyo amuaga kutunga story za hovyo huwa mnataka nini!
Je, kuangalia majibu yetu juu ya kukosa kazi kwenu
Je, kutafuta umaarufu JF kwa upumbavu wenu
Je, kuthibitisha tatizo la ajira Tanzania linasababisha ulemavu wa akili
Ama mna maanishaga nn!!??
Sasa ishu ya kiwanja itakuwaje sasa mkuu[emoji26] Au niende kwa mganga?[emoji24][emoji24]
[emoji24][emoji24][emoji24]Mkuu, ya kutokea yamekwisha tokea, tujaribu kutazama tunafanyeje ili simu irudi dukani na kiwanja kirejeshwe. Nisaidieni mimi mwenzenu nitakufa na presha yaani dahTittle yako ilibidi isomeke hivi..
"Nimeuza kiwanja na kununua simu ya ndoto yangu je, mimi ni nani"?
Hapana mkuu, unasema hivyo kwa kuwa hayajakukuta. Yakikukuta utalia kilio cha kusaga meno.[emoji24][emoji24]100% wanaonzisha nyuzi za aina hii ni me! Binafsi nashindwa elewa! Shida nini? Kwa siku ni nyuzi hizi hizi na ni wanaume[emoji706]
Jaman[emoji24][emoji24][emoji24] Kwani hakuna njia naweza kumtafuta mganga tukamtupia bomu mwenye kiwanja akaamua kusamehe tu? Hata kama atadai milioni? Walau nikakope nirudishe hadhina[emoji24][emoji24] Watu watanionaje mimi[emoji24][emoji24]Kufanya nini kwa mganga weye?Ukitaka kukiona kiwanja "kilichokuwa" chako unafungua google map.Unakitazama halafu unaendelea kutazama tik-tok.Safi kabisa.
Weye umeshayasaga hayo meno yako?Hapana mkuu, unasema hivyo kwa kuwa hayajakukuta. Yakikukuta utalia kilio cha kusaga meno.[emoji24][emoji24]
Hapa nilipo najuta kuzaliwa yaani[emoji24][emoji24][emoji24]
Hapana mkuu, naomba msaada wako tafadhari nakuomba[emoji24][emoji24][emoji24]Weye umeshayasaga hayo meno yako?
Kiwanja kitu gani weye?Uliwahi kuona ndugu wa kutoka bara Hindi wanajengajenga au kumiliki viwanja kijinga?Acha zako.Hiyo laki mbili iliyobaki nenda ukanywe komoni na marafiki mfurahi.Maisha kitu gani kwani?Jaman[emoji24][emoji24][emoji24] Kwani hakuna njia naweza kumtafuta mganga tukamtupia bomu mwenye kiwanja akaamua kusamehe tu? Hata kama atadai milioni? Walau nikakope nirudishe hadhina[emoji24][emoji24] Watu watanionaje mimi[emoji24][emoji24]
Picha ni ya kugoogle, ila simu niko nayo. Nimeiacha mahali kwa kuhofia huenda ikapata hitilafu nikashindwa kuirejesha[emoji24]
Nimeitunza kama yai mkuu[emoji24][emoji24][emoji24]
Mkuu, unasema hivi kwa sababu hayajakukuta. Nitakuwa mgeni wa nani mimi hapa chini ya jua mimi? Nimechafua jina la ukoo mimi [emoji24][emoji24][emoji24] Nimeuza kiwanja mkuh, nimedhurumiwa kiwanja mimi mchana kweupe huku najiona[emoji24]Kiwanja kitu gani weye?Uliwahi kuona ndugu wa kutoka bara Hindi wanajengajenga au kumiliki viwanja kijinga?Acha zako.Hiyo laki mbili iliyobaki nenda ukanywe komoni na marafiki mfurahi.Maisha kitu gani kwani?
Dah, we acha tu. Nashindwa nifanye nini mimi lakini, dah[emoji24][emoji24]Pole mkuu
Tubu kama alivyo tubu Ndugae nikupe maujanja.Mkuu, unasema hivi kwa sababu hayajakukuta. Nitakuwa mgeni wa nani mimi hapa chini ya jua mimi? Nimechafua jina la ukoo mimi [emoji24][emoji24][emoji24] Nimeuza kiwanja mkuh, nimedhurumiwa kiwanja mimi mchana kweupe huku najiona[emoji24]
Nafaka kashakwambia tafuta mteja wa kumuuzia uone anakwambia bei gani.Mkuu, nishauri nifanyeje? Ndo kwanza ina siku moja. Kwani nikiirudisha hawawezi kunikubalia? Japo wanikate 50k kama faini? [emoji24][emoji24] Nataka nitejeshe kiwanja mkuu
Mwishowe utakuwa shoga we jamaa! Samahani mods na mtoa mada kwa lugha yangu kaliHabari wakuu,
Hapa nilipo nimejaa kitete siyo poa. Yaani hata sielewi, ingawa maamuzi niliyoyachukua nilishauriana na moyo wangu nikaridhika, lakini still nafsi inanisuta.
Nimeuza kiwanja changu cha urithi nilichopewa kwenye mgao wa familia, tena kiwanja kilicho barabarani kabisa. Nilitakiwa kukiuza kwa Tsh. Mil 18 (atleast), lakini nimejikuta nakiuza kwa milioni tano ili ninunue simu ya ndoto yangu kabla haijatoka kwenye chati.[emoji24][emoji24]
Tayari nishafanya yangu. Nimenunua kitu cha Samsung Galaxy Z Fold 4 kwa Mil. 4 na laki 9. Hapa mfukoni nimebaki na laki tu. [emoji24][emoji24] Kiwanja kimeenda. Naombeni mnipe moyo ili nisiugue presha mwenzenu, nafsi inatapatapa maskini[emoji24][emoji24], bora hata ningefungua biashara.
Nilivutiwa na hii simu kwa sababu imekaa kama kitabu, nikiifungua inaungana vioo viwili inakuwa kama ka TV kadogo, kamera safi na hadhi ya kimataifa.
Moyo umejaa kitete, nifanyeje? [emoji24][emoji24]View attachment 2428948
.Habari wakuu,
Hapa nilipo nimejaa kitete siyo poa. Yaani hata sielewi, ingawa maamuzi niliyoyachukua nilishauriana na moyo wangu nikaridhika, lakini still nafsi inanisuta.
Nimeuza kiwanja changu cha urithi nilichopewa kwenye mgao wa familia, tena kiwanja kilicho barabarani kabisa. Nilitakiwa kukiuza kwa Tsh. Mil 18 (atleast), lakini nimejikuta nakiuza kwa milioni tano ili ninunue simu ya ndoto yangu kabla haijatoka kwenye chati.[emoji24][emoji24]
Tayari nishafanya yangu. Nimenunua kitu cha Samsung Galaxy Z Fold 4 kwa Mil. 4 na laki 9. Hapa mfukoni nimebaki na laki tu. [emoji24][emoji24] Kiwanja kimeenda. Naombeni mnipe moyo ili nisiugue presha mwenzenu, nafsi inatapatapa maskini[emoji24][emoji24], bora hata ningefungua biashara.
Nilivutiwa na hii simu kwa sababu imekaa kama kitabu, nikiifungua inaungana vioo viwili inakuwa kama ka TV kadogo, kamera safi na hadhi ya kimataifa.
Moyo umejaa kitete, nifanyeje? [emoji24][emoji24]View attachment 2428948
Dah, Sasa mkuu, hata kama nitaiuza kwa 2m na kununua bidaboda, hiyo 7k ya siku nitakayoletewa itanifaa nini kurudisha kiwanja? Hiyo hela ya kununua kiwanja pembezoni mwa barabara kama kile nitaifikisha lini? Je, niwadanganye vipi ndugu kuhusu kiwanja kwa sasa ili wanielewe wasinichukulie kama shetani? [emoji24][emoji24]Nafaka kashakwambia tafuta mteja wa kumuuzia uone anakwambia bei gani.
kama utabahatika kupewa ata 2m kanunue bodaboda umpe kijana
Badala unishauri, ndo kwanza unanizidishia machungu. Ila binadamu lakini, kweli kwenye matatizo unabaki mwenyewe nimeamini[emoji24][emoji24]M
Mwishowe utakuwa shoga we jamaa! Samahani mods na mtoa mada kwa lugha yangu kali