mkatangara
Member
- Feb 28, 2012
- 37
- 5
Kama kiwanja kimepimwa na hati ipo kwa jina lako na wewe unayo hiyo hati basi kiwanja ni chako, we kiulaini kabisa hakikisha unalipia kodi kama kawaida na unatunza risiti, hao wengini kama hawana hati waambie wametapeliwa na kisheria imekula kwao
we endelea na ujenzi manake hata wakienda polisi wataambiwa waonyeshe hati au ofa vitu ambavyo hawana,
we endelea na ujenzi manake hata wakienda polisi wataambiwa waonyeshe hati au ofa vitu ambavyo hawana,