AgentFuller
New Member
- May 26, 2012
- 2
- 0
Hodi waungwana wote wa hapa JF
Leo nimetia maguu rasmi, kama wanajamii wengine waliotangulia, nami nikileta yale niwezayo kuyaona na kuyachangia kwa upeo wangu na uelewa wangu, pia kwa ushahidi na vyanzo niviaminio mimi kwa nafasi yangu
Nashukuru kwa nyote na admin pia, kuruhu kuwa kwangu humu
Naomba kuwakilisha hoja, naomba kuingia ukumbini na kuwa mwana JF mpyaa
asanteni
Leo nimetia maguu rasmi, kama wanajamii wengine waliotangulia, nami nikileta yale niwezayo kuyaona na kuyachangia kwa upeo wangu na uelewa wangu, pia kwa ushahidi na vyanzo niviaminio mimi kwa nafasi yangu
Nashukuru kwa nyote na admin pia, kuruhu kuwa kwangu humu
Naomba kuwakilisha hoja, naomba kuingia ukumbini na kuwa mwana JF mpyaa
asanteni