Nimevumilia muda mrefu sasa nakaribia kuuteka mtaa hamasa kwa wanaoanza biashara

Nimevumilia muda mrefu sasa nakaribia kuuteka mtaa hamasa kwa wanaoanza biashara

Kazanazo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
2,582
Reaction score
4,554
Kwemah wakuu,,,tunapeana tu motisha na kuongeza mapambano ya kila siku hasa kwa wadundulizaji kama mimi

Iko hivi, nilipomaliza chuo niliingia zangu kitaa na idea ya kuuza vifaa vya simu na tigo pesa ambayo nilikuwa naifanya toka nikiwa chuoni hasa tukifunga chuo au nikiwa mwanzoni mwa semester hiyo ilikuwa 2019

Wakati naanza kazi ilikuwa ngumu sana kwa siku wateja hawazidi kumi na wakija wanakuja wale walioshindwa na madoni wa mtaa yaani wanataka kutuma au kutoa mpunga mkubwa ambao sikua nao na biashara ya accessories ilikuwa haisogei kabisa

Changamoto kubwa ilikuwa majungu ya wateja na maneno yao ya kukatisha tamaa mara wakwambie kama huna si ufunge mara wakuchane live kuwa hapa hutoboi fulani ndio kila kitu na ukizingatia sikuwa na mtaji wa maana lakini niliendelea kupambana kwani sikuwa na idea ya biashara nyingine hata kama kamisheni ilikuwa ndogo sana kipindi kile bado niliendelea kupambana

Hadi kufika muda huu ni takriban miaka 5 nashukuru Mungu kijiwe kimechangamka wakati mwingine unashindwa kupata hata muda wa kula kwa ubize, cha kushangaza ni kuwa walewale waliokuwa wakinikatisha tamaa ndio marafiki zangu na wateja wangu wakubwa

Huwa wakija watapiga stori za mawakala wengine na kukupa umbea mwingi na uongo sijui wamefirisika, walikuwa na pesa za mkopo n.k lakini kwakuwa naijua biashara huwa siwasapoti kiviile zaidi ya kuwaitikia na kutabasam kama vile nawasapoti ilimradi kazi inaenda safi

Mwisho, kwa experience yangu ndogo ya miaka mitano nimegundua biashara yoyote changa inapitia hatua nyingi sana hadi kuimarika kabisa inaweza chukua miaka hadi 10 au 20 kuwa doni wa mtaa kwa hiyo vijana tusikate tamaa hasa kama umeamua kuwa upande wa biashara wakati wetu uwaja

Ahsanteni
 
Kwemah wakuu,,,tunapeana tu motisha na kuongeza mapambano ya kila siku hasa kwa wadundulizaji kama mimi

Iko hivi, nilipomaliza chuo niliingia zangu kitaa na idea ya kuuza vifaa vya simu na tigo pesa ambayo nilikuwa naifanya toka nikiwa chuoni hasa tukifunga chuo au nikiwa mwanzoni mwa semester hiyo ilikuwa 2019

Wakati naanza kazi ilikuwa ngumu sana kwa siku wateja hawazidi kumi na wakija wanakuja wale walioshindwa na madoni wa mtaa yaani wanataka kutuma au kutoa mpunga mkubwa ambao sikua nao na biashara ya accessories ilikuwa haisogei kabisa

Changamoto kubwa ilikuwa majungu ya wateja na maneno yao ya kukatisha tamaa mara wakwambie kama huna si ufunge mara wakuchane live kuwa hapa hutoboi fulani ndio kila kitu na ukizingatia sikuwa na mtaji wa maana lakini niliendelea kupambana kwani sikuwa na idea ya biashara nyingine hata kama kamisheni ilikuwa ndogo sana kipindi kile bado niliendelea kupambana

Hadi kufika muda huu ni takriban miaka 5 nashukuru Mungu kijiwe kimechangamka wakati mwingine unashindwa kupata hata muda wa kula kwa ubize, cha kushangaza ni kuwa walewale waliokuwa wakinikatisha tamaa ndio marafiki zangu na wateja wangu wakubwa

Huwa wakija watapiga stori za mawakala wengine na kukupa umbea mwingi na uongo sijui wamefirisika, walikuwa na pesa za mkopo n.k lakini kwakuwa naijua biashara huwa siwasapoti kiviile zaidi ya kuwaitikia na kutabasam kama vile nawasapiti ilimradi kazi inaenda safi

Mwisho, kwa experience yangu ndogo ya miaka mitano nimegundua biashara yoyote changa inapitia hatua nyingi sana hadi kuimarika kabisa inaweza chukua miaka hadi 10 au 20 kuwa doni wa mtaa kwa hiyo vijana tusikate tamaa hasa kama umeamua kuwa upande wa biashara wakati wetu uwaja

Ahsanteni
Ndo nachopitia kwa sasa
 
Kwemah wakuu,,,tunapeana tu motisha na kuongeza mapambano ya kila siku hasa kwa wadundulizaji kama mimi

Iko hivi, nilipomaliza chuo niliingia zangu kitaa na idea ya kuuza vifaa vya simu na tigo pesa ambayo nilikuwa naifanya toka nikiwa chuoni hasa tukifunga chuo au nikiwa mwanzoni mwa semester hiyo ilikuwa 2019

Wakati naanza kazi ilikuwa ngumu sana kwa siku wateja hawazidi kumi na wakija wanakuja wale walioshindwa na madoni wa mtaa yaani wanataka kutuma au kutoa mpunga mkubwa ambao sikua nao na biashara ya accessories ilikuwa haisogei kabisa

Changamoto kubwa ilikuwa majungu ya wateja na maneno yao ya kukatisha tamaa mara wakwambie kama huna si ufunge mara wakuchane live kuwa hapa hutoboi fulani ndio kila kitu na ukizingatia sikuwa na mtaji wa maana lakini niliendelea kupambana kwani sikuwa na idea ya biashara nyingine hata kama kamisheni ilikuwa ndogo sana kipindi kile bado niliendelea kupambana

Hadi kufika muda huu ni takriban miaka 5 nashukuru Mungu kijiwe kimechangamka wakati mwingine unashindwa kupata hata muda wa kula kwa ubize, cha kushangaza ni kuwa walewale waliokuwa wakinikatisha tamaa ndio marafiki zangu na wateja wangu wakubwa

Huwa wakija watapiga stori za mawakala wengine na kukupa umbea mwingi na uongo sijui wamefirisika, walikuwa na pesa za mkopo n.k lakini kwakuwa naijua biashara huwa siwasapoti kiviile zaidi ya kuwaitikia na kutabasam kama vile nawasapiti ilimradi kazi inaenda safi

Mwisho, kwa experience yangu ndogo ya miaka mitano nimegundua biashara yoyote changa inapitia hatua nyingi sana hadi kuimarika kabisa inaweza chukua miaka hadi 10 au 20 kuwa doni wa mtaa kwa hiyo vijana tusikate tamaa hasa kama umeamua kuwa upande wa biashara wakati wetu uwaja

Ahsanteni

Ukikaa mahali mda mrefu lazima business ipick tu! Shida ni kuanzisha biashara na kuila wakati huo huo
 
Mtaji kiasi gani ulikuwa nao mkuu ulio anza nao??

Huwa natamani biashara ya uwakala sana.
Kusema ukweli mtaji ulikuwa unpredictable sema wakati naanza ilikuwa nimekusanya walau 1mil capita cash tayari nikiwa na lain na kiofisi changu cha uongo na ukweli ambacho niliendelea kukiboresha kadri siku zilivozidi kwenda
 
Ni kweli mkuu wakati mwingine hadi bega linauma lakini nashukuru Mungu nimepata wife mpambanaji huwa tunapokezana kwa baadhi ya siku kidogo inapunguza uchovu
Hongera sana Mkuu, naamin ukiachana na ofisi yako bado unaendelea zaid kujitanua (kuongeza assets)
 
Back
Top Bottom