Nimevumilia sana ila leo imebidi niulize, ni kwanini pua haipo utosini?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Actually kila kiungo katika binadamu kipo namna kilivyo pale kilipo kwa sababu maalum, sio hivihivi tu for no reason.

Sasa cha ajabu na cha kushangaza ni pua kutokuwepo utosini ilihali kuko ndio panahewa safi ya kutosha maana ni juu zaidi, kwanini lakini?
 
Huko ni kukufuru mkuu! alie tuumba ndo alituumba hivyo, vipi unaweza kumuuliza?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mkuu utosini mvua ikinyesha maji si yangekuwa yanapita tafikiri kwenye bomba!! Sipati picha kwenye kupenga๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ dah Kuna watu mnawaza!!
 
Mzee unataka uwe na pua kama ngiri iangalie juu unazingua
 
Hivi umeshawaza tabu utakayoipata wakati wa kupenga kamasi?

Maendeleo hayana chama
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mkuu utosini mvua ikinyesha maji si yangekuwa yanapita tafikiri kwenye bomba!! Sipati picha kwenye kupenga๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ dah Kuna watu mnawaza!!
Nime imagine hii hali nimejikuta nacheka ka mjinga๐Ÿ˜€๐Ÿ˜†๐Ÿ˜€๐Ÿ˜†
 
Nime imagine hii hali nimejikuta nacheka ka mjinga๐Ÿ˜€๐Ÿ˜†๐Ÿ˜€๐Ÿ˜†
Watu wangekuwa wanakimbia mvua si kuloana bali kuepusha pua zao kupata mzozo na maji kutoka juu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Umeumbwa kwa mfano wa Mungu.

"What is yours will always be yours no matter what "
 
hahahhahaahahahaahhhahhhh, ingekuwepo kwenye kitovu, tungeuliza kwanini isingekuwepo juu ya mdomo,
kwa sababu zozote zile, ikiwemo hiyo uliyotoa.
 
Sasa mtoa mada we unataka wote tuwe na pua utosini kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ