FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Actually kila kiungo katika binadamu kipo namna kilivyo pale kilipo kwa sababu maalum, sio hivihivi tu for no reason.
Sasa cha ajabu na cha kushangaza ni pua kutokuwepo utosini ilihali kuko ndio panahewa safi ya kutosha maana ni juu zaidi, kwanini lakini?
Sasa cha ajabu na cha kushangaza ni pua kutokuwepo utosini ilihali kuko ndio panahewa safi ya kutosha maana ni juu zaidi, kwanini lakini?