Nimevunja ndoa ya rafiki yangu

Usilopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzako na suku zote if that lady accept to be the 2nd will not be the only one !!Mungu ni wakisasa na malipo yako utayaona soon unatabia chafu kweli na nimnafki ndo maana ulitukanywa na hata ulippeleka mtanga utatukanywa tu maana tabia yako ni chafu I wish ungekutana na Mimi ningekukomesha !wanaume Wa aina hii mpo hamjitambui hata relation hamna kaziyenu ukuadi mfyyuuuuuu
 
Wewe Rusfell uliyevunja ndoa za watu, inaonekana unatumia pilipili nyingi zinakuwasha hadi unarukia za jirani, mke anapoteseka na watoto we unaona raha gani, unatuletea watoto wa mitaani bila sababu.
 
atinini umevunja ndoa au ndooo? yaliyounganishwa na Mungu unayetenganishaje kama wewe sio shetwani?
 
Kweli kuna mibibi isiyo na akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…