Nimevunjika Moyo

Ahsante babu yangu mpendwa
Thats my girl.........unakaribishwa kwenye himaya ya babu....wasiliana na mjukuu mtiifu kwa formalities......... Huwa naanzaga na ukaguzi.
 
Hahahahaha nashukuru si mind hizo biology hata huyu hatukula tundi, maybe ndio maana amesepa au waonaje? but makubaliano yalikuwa mpaka ndoa, nashukuru sana asprin kwa kweli umenipa ushauri mzuri nitahakikisha nakuwa mwenye furaha masaa yote

Pole my dear ndio maisha, ila huwa yanapita shukuru Mungu umeambiwa mapema hata tundi hajala shukuru sana katika hilo. Maana wengine wanagalagazwa weeeeeeeeeeeeeeee halafu wanaachwa kimya kimya inaumaje?
 
kweli kabisa, sasa kwani huyu mtu mwanzo hakuona wakati anamtongoza? wanaume msipende kuwaumiza wadada wa watu, au angetafuta njia mbadala kuliko kumdhalilisha kwa neno la kukonekti

Ni ngumu sana kumjaji mtu siku za mwanzo.

Wanawake wagumu sana kusoma mchezo na kusoma alama za nyakati
 

Babu hapa sijui nilie lol, maisha haya kaaaz kweli kweli
 

Hili nalo neno, muhimu ni kujifunza kutokana na makosa
 
Pole sana my dear! Usivunjike moyo, ndio maisha yalivyo! mimi niliambiwa "we are not compartible" mara elimu ikawa issue kwamba mimi nimemzidi, kwa hiyo if anything labda na yy afikie level yangu ya elimu na vikorokoro kibao! Niliumia sana lakini Mungu ni mwema niliweza kulipokea kama lilivyo! Nikaona O.k may be sikupangiwa huyo, pia nikagundua kwamba sometimes inawezekana nalazimisha kitu ambacho hakiwezekani, nikaona pia nisiwe selfish, kama yeye ameona we are not compatible sina haja ya kun'gan'gana. Lakini nikajifunza kwamba sometimes unaweza kuwa kwenye relationship ukadhani everything is fine mko poa na nini kumbe mwenzako kuna mambo hayamfurahishi so let it go, no matter how hard it is atampata ambaye ni compatible na mimi Mungu akipenda nitampata yule alieniandikia! Najua inauma sana mpendwa ila ndo hivyo, mpishe tu, mpe nafasi akatafute hiyo connection kwingine, wewe usivunjike moyo wala usikate tamaa, utampata tu mwingine ambaye hata ku judge!
 
Pole sana my dear! Usivunjike moyo, ndio maisha&nbsp; yalivyo! mimi niliambiwa <EM>"we are not compartible"&nbsp;&nbsp;</EM>mara elimu ikawa issue kwamba mimi nimemzidi, kwa hiyo if anything&nbsp; labda&nbsp; na yy afikie level yangu ya elimu na vikorokoro kibao! Niliumia sana lakini Mungu ni mwema niliweza kulipokea kama lilivyo! Nikaona O.k may be sikupangiwa huyo, pia nikagundua kwamba sometimes&nbsp; inawezekana nalazimisha kitu ambacho hakiwezekani, nikaona pia nisiwe selfish, kama yeye ameona we are not compatible sina haja ya kun'gan'gana. Lakini nikajifunza kwamba sometimes unaweza kuwa kwenye relationship ukadhani everything is fine mko poa&nbsp; na nini kumbe mwenzako kuna mambo hayamfurahishi so let it go, no matter how hard it is atampata ambaye ni compatible na mimi Mungu akipenda nitampata yule alieniandikia! Najua inauma sana mpendwa ila ndo hivyo, mpishe tu, mpe nafasi&nbsp;&nbsp;akatafute hiyo connection kwingine, wewe&nbsp;usivunjike moyo wala usikate tamaa, utampata tu mwingine ambaye hata ku judge!
 
Umeona ee, sisi nasi sometimes vichwa maji ila ndio hivyo tena maisha lazima yasonge mbele

Alafu kwa nini huwa hamtumii ile style ya 50/50? unakuta mtu anakufa moja kwa moja kwa njemba linapo kuja kumtenda maumivu yake ni balaa lakini angejiweka kwa 50/50 asingeweza kuumia.
 
Alafu kwa nini huwa hamtumii ile style ya 50/50? unakuta mtu anakufa moja kwa moja kwa njemba linapo kuja kumtenda maumivu yake ni balaa lakini angejiweka kwa 50/50 asingeweza kuumia.

Unajua sijui kwa nini, wanawake mara nyingi unakua na mpenzi mmoja huyo huyo ila nyinyi wenzetu mnakua mmewapanga foleni so ndio maana mtu ukitendwa unaumia kwa sababu ndio alikua huyo huyo. Ila si mbaya sana kwani kila siku zinavyozidi kusonga ndivyo mtu unavyoendelea kujifunza unakosea wapi na ujirekebisheje.
 

Mi wananiudhi wanaume wanao miliki wanawake 15 kwa mpigo alafu wanajijua hao wanawake.
Sasa hapo kwa nini nyie wanaume hamchezi kwa step 50/50
 
na ikijilock yote unafanyaje? au hata dirishani unatokea?
Indeed....
"When one door of happiness closes, another opens; but often we look so long at the closed door that we do not see the one which has been opened for us."

Mara nyingi tunapigania lost cause, badala ya kuangalia au kutafuta anayetuhitaji na kutujali,
It not worth it the earlier we move on, the better...., Time Heals.
 
dah! Pole sana dinnah, hizo ni changamoto zinazotufanya tuwe imara. Maisha ni lazima yasonge mbele hata kama kila tunapoinuka tunadondoka tena mwisho wa siku tutakuwa imara.Mungu akupe nguvu ila jitahidi usifikirie au usijiweke katika mazingira yatakayokuletea huzuni.Hata kama tukwambie maneno milioni ya kukufariji, mwisho wa siku wewe ndio mwamuzi kama unataka furaha au huzuni ndio itawale maisha yako.
 
Ahsante dear husninyo ubarikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…