Nimewaangusha Panya Road zaidi zaidi ya 15 huku Majohe

Nimewaangusha Panya Road zaidi zaidi ya 15 huku Majohe

Wakuu habari zenu.

Ulinzi wa taifa hili ni la wananchi wote na napenda kuishi kwa amani ndani ya nchi yangu.

Mimi ni kijana mpole na mbambe ninapochokozwa na huwa sipendi uonevu kutokana na sehemu nilipokulia,Mimi kwetu ni rorya Kanda maalum na siku zote nilishakataa kuwa siwezi kusumbuliwa na hawa watoto wanaojiita panya road ,kama ubabe nilifanya sana kipindi nachunga kule kwetu na nilipiga sana watu rungu na najua sana kucheza na silaa kwenye ishu kama hizi ndogo ndogo.

Ilikuwa hivi ,nilienda kuangalia eneo langu maeneo ya majohe huku Bomba mbili, nikawa natembea hivi mita kama 100 hivi nikaona kundi la vijana wadogo tu wanakuja nikasema hawa watakuwa panya road , kwenye begi langu nilikuwa na panga tena Haina hata wiki tena nimeinunua pale buguruni.nikaivaa Ile begi kwa mbele nikajisemea hapa kama ni wao atakae jipendeza itakula kwake, kabla mita kama 50 hivi mbele nikapita kushoto Ili kujiandaa vizuri ,wakaniona na kuanza kuniambia toa ulichonacho, wakaja kumi na tano nikawahesabu fasta.

Wakaja kama wanataka kunivamia ,sikuwachelewesha wale watoto na sikuona huruma,roho ya unyama ukanijaa fasta, niliwatembezea kichapo ,wale watoto nimewakata panga bila huruma, nilivyokuwa nawapiga mapanga wakawa wanakuja wengi na walivyokuwa wafupi ndo nilikuwa nawakata bila huruma,

Maeneo ya miili Yao kama mikono,vichwa na mabega nimewakata sana.nikasikia wanasema jamani huyu mkuria tukimbie[emoji3][emoji3] wakaondoka kwa kuvutana nikatamani kuwafuata nikawamalize Moja kwa Moja, na Mimi nikatembea,

Na naamini kabisa wale watoto hawafiki makao watadondoka tu njiani maana nimewapapasa sehemu muhimu.
Hii chai ya moto ,
 
Mkurya tuwekee kapicha na sisi wa Mwantonondo Kiwira tuonepo wee
 
hii chai imewekwa chumvi yaani kundi la watu kumi na tano na wewe ukiwa peke yako na panga tu hao walikuwa mikono mitupu au na fimbo? kama na wao walikuwa na mapanga au visu tena uzungukwe kati na bado tena wakukimbie hivi unaijua vita ya mapanga kweli ww ukipiga wa mbele au ukigeuka basi wa nyuma yako au pembeni lazima akupige ww kwahiyo sasahivi upo hospitali gani mkuu
Mimi siyo mwanaume wa dar,dar nafanya tu shughuli zangu za maisha.vita ni akili,wale siyo kwamba nilikuwa nawakata panga huku nimesimama,Kuna namba ya kupambana na kundi la watu,

Ukweli walikuwa na panga,mondo na marungu,na wale panya road hawajui kupambana na ndo maana niliwakata sana, kwanza ni watoto pili ni wafupi kwa hiyo kunifikia ilikuwa ni ngumu sana ,tayari Mimi nimeshawaumiza zaidi,na Wala sikupata hata jeraha tofauti tu na damu zao kwenye nguo zangu, naamini kabisa watapaogopa huku majohe,wakajaribu sehemu nyingine.

Mimi ni field martial siyo tu kuchezea panga
 
Kuna uwezekano umekutana nao kweli. Ila hii hadithi yako ni simulizi fikra zako na matamanio yako ya ungewafanyaje endapo ungemudu.

Hii ingekuwa na uwezekano kama tu wanapigana kama kwenye movie, pale maadui wanapomzunguka Starring lakini wanaenda kumpiga mmoja mmoja, wanasubiri mwenzao aanguke ndio mwingine aingie.

Pole kwa kuibiwa na watoto wa miaka 8 mkuu.
Sawa
 
Kuna uwezekano umekutana nao kweli. Ila hii hadithi yako ni simulizi fikra zako na matamanio yako ya ungewafanyaje endapo ungemudu.

Hii ingekuwa na uwezekano kama tu wanapigana kama kwenye movie, pale maadui wanapomzunguka Starring lakini wanaenda kumpiga mmoja mmoja, wanasubiri mwenzao aanguke ndio mwingine aingie.

Pole kwa kuibiwa na watoto wa miaka 8 mkuu.
haahaaa kweli kabisa mkuu ni kama zile filamu za kichina mtu anakatwa panga anaruka huko hata damu yenyewe haionekani hapo sasa ndo huyu mtoa mada labda alikuwa anawaza tu kwa sauti baada kushiba pilau la idd ila kwenye uhalisia wake mmh!
 
naomba uwakate hata wale mabosi wanaowatuma watu wapandishe bei ya mafuta ili vitu vipande bei nchi na wananchi wake waingie kwenye msongo wa huzuni na mawazo katika kuishi kwao hapa duniani😎
 
Sawa sawa Endelea na Part two 🤣🤣
IMG_20220503_234207.jpg
 
Wakuu habari zenu.

Ulinzi wa taifa hili ni la wananchi wote na napenda kuishi kwa amani ndani ya nchi yangu.

Mimi ni kijana mpole na mbambe ninapochokozwa na huwa sipendi uonevu kutokana na sehemu nilipokulia,Mimi kwetu ni rorya Kanda maalum na siku zote nilishakataa kuwa siwezi kusumbuliwa na hawa watoto wanaojiita panya road ,kama ubabe nilifanya sana kipindi nachunga kule kwetu na nilipiga sana watu rungu na najua sana kucheza na silaa kwenye ishu kama hizi ndogo ndogo.

Ilikuwa hivi ,nilienda kuangalia eneo langu maeneo ya majohe huku Bomba mbili, nikawa natembea hivi mita kama 100 hivi nikaona kundi la vijana wadogo tu wanakuja nikasema hawa watakuwa panya road , kwenye begi langu nilikuwa na panga tena Haina hata wiki tena nimeinunua pale buguruni.nikaivaa Ile begi kwa mbele nikajisemea hapa kama ni wao atakae jipendeza itakula kwake, kabla mita kama 50 hivi mbele nikapita kushoto Ili kujiandaa vizuri ,wakaniona na kuanza kuniambia toa ulichonacho, wakaja kumi na tano nikawahesabu fasta.

Wakaja kama wanataka kunivamia ,sikuwachelewesha wale watoto na sikuona huruma,roho ya unyama ukanijaa fasta, niliwatembezea kichapo ,wale watoto nimewakata panga bila huruma, nilivyokuwa nawapiga mapanga wakawa wanakuja wengi na walivyokuwa wafupi ndo nilikuwa nawakata bila huruma,

Maeneo ya miili Yao kama mikono,vichwa na mabega nimewakata sana.nikasikia wanasema jamani huyu mkuria tukimbie[emoji3][emoji3] wakaondoka kwa kuvutana nikatamani kuwafuata nikawamalize Moja kwa Moja, na Mimi nikatembea,

Na naamini kabisa wale watoto hawafiki makao watadondoka tu njiani maana nimewapapasa sehemu muhimu.
Uliposema tu "huyu mkuria" nikawaza kuagiza maandazi
 
Baada ya kamanda kusema wanasoma darasa la 5 ndo umeamua ki hivi[emoji848]
 
Back
Top Bottom