Magezi bugaga
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 1,181
- 1,594
Wenzio wako front na action sio kuchukia tu bila kuactHivi ni kitu gani Mh. Ruto amekosea.
Kwanini wanaharibu miundombinu.
Mh. Ruto alikubali kuwapatia walichotaka kwanini bado wanataka aondoke.
Nimewachukia hawa vijana Mh. Ruto ni kiongozi mzuri sana.
Nimeamua kupost hii video nikiwa na machungu sana.
Alikosea Ruto mwenyewe!Hivi ni kitu gani Mh. Ruto amekosea.
Kwanini wanaharibu miundombinu.
Mh. Ruto alikubali kuwapatia walichotaka kwanini bado wanataka aondoke.
Nimewachukia hawa vijana Mh. Ruto ni kiongozi mzuri sana.
Nimeamua kupost hii video nikiwa na machungu sana.
Unamkosea kumwita majina yasiyo faa Ruto amesimamisha kusaini hiyo na yuko tayari kuzungumza nao hakuna binadamu asiyekosea hakuna jambo ambalo huisha kwa vurugu bila ya kukaa katika meza ya majadiliano kuendelea kaharibu miundo hiyo siyo sulhu ya kuondoa tatizoWewe una akili gani?. Unahangaika na mambo ya wengine wakati wewe ni mpumbavu na chawa wa CCM. Hao unao waita hawana akili wametafsiri Finance Bill kwa Lugha 20 za makabila mbalimbali ya Kenya ili watu wajue hiyo bill kwa undani, wewe chawa hata ukiulizwa ukurasa wa tatu wa Finance bill ya Tanzania inasemaje hujui. Punguza unafiki na kimbelembele. Kama unapenda uchawa Baki nao bongo usipeleke kwenye nchi za watu.
Watu wamekaa chini wapi ? Kama watu walivyoita kizazi cha Jakaya walikaa chini na kuamua tuite hao kizazi cha Jakaya ? (Au ni watu waliozaliwa kipindi cha Jakaya) hence kwa mtu ku coin hilo Jina kwenye hicho kizazi inaleta meaning...Unachanganya mambo, GEN Z nikitu kilichoanzishwa nazungumzia hio CONCEPT watu wamekaa chini wakaamua waite hayo majina hiko ndio nazungumzia.
There is no official group in charge of naming generations, but theorists Neil Howe and William Strauss were among the first to name the different generations in their 1991 book, “Generations.” They are credited with naming the Millennials.
"We thought that an upbeat name would be good because of the changing way they were being raised. They would be the first to graduate high school in the year 2000, so the name millennial instantly came to mind," Howe told NPR in 2014.
Canadian author Douglas Coupland gets the credit for coining, or at least popularizing, the term Gen X — in reference to people born between 1965 and 1980 — in his 1991 book, “Generation X: Tales for an Accelerated Culture.”
Gen Z is thought to have gotten its name for being two generations after Gen X.
Duu sijui umeandika niniWatu wamekaa chini wapi ? Kama watu walivyoita kizazi cha Jakaya walikaa chini na kuamua tuite hao kizazi cha Jakaya ? (Au ni watu waliozaliwa kipindi cha Jakaya) hence kwa mtu ku coin hilo Jina kwenye hicho kizazi inaleta meaning...
Baby Boomers, Millennials, Gen Z: Who names generations?
The process of naming generations could become more scientificwww.voanews.com
Alikosea wapiAlikosea Ruto mwenyewe!
Kuruhusu tuu maandamano ilikuwa ni mistake kubwa sana kwa nchi zetu hizi,wazungu ndio wanaweza hayo maandamano ya amaniAlikosea wapi
Katumie akili wewe pumbavu! Baada ya polisi kuanza kuua ndio chanzo!!!Gen Z ilianzishwa au ni generation ya watu fulani....,, Kizazi kilichozaliwa katika information age..., kama wewe kizazi ambacho kilizaliwa zama za ubaharia na kuzamia meli au zama za kale au zama za mawe.... au hata millennials...
Kizazi hiki kina perspective zao tofauti na wewe ila ukweli unabakia with information age na ukosefu wa ajira zenye ujira wa kutosha haya mambo hata ukiyazima yatakuja tena kama sio Gen Z basi itakuwa Generation Alpha....
Katiba inaruhusu wewe usiejielewa!Kuruhusu tuu maandamano ilikuwa ni mistake kubwa sana kwa nchi zetu hizi,wazungu ndio wanaweza hayo maandamano ya amani
Wewe Kila katiba inachoruhusu unakipata ?,acha ufala ,umejiuliza huo uharibifu uliofanywa na hao gen z unarekebishwa kwa gharama gani!Katiba inaruhusu wewe usiejielewa!
Watu wenye akili hizi za kinafiki bahati mbaya ni wengi sana nchini Tanzania.Hivi ni kitu gani Mh. Ruto amekosea.
Kwanini wanaharibu miundombinu.
Mh. Ruto alikubali kuwapatia walichotaka kwanini bado wanataka aondoke.
Nimewachukia hawa vijana Mh. Ruto ni kiongozi mzuri sana.
Nimeamua kupost hii video nikiwa na machungu sana.
Ni wapumbavu sana.Hivi ni kitu gani Mh. Ruto amekosea.
Kwanini wanaharibu miundombinu.
Mh. Ruto alikubali kuwapatia walichotaka kwanini bado wanataka aondoke.
Nimewachukia hawa vijana Mh. Ruto ni kiongozi mzuri sana.
Nimeamua kupost hii video nikiwa na machungu sana.
Ni raisi tu, kama hali ni mbaya sana na uwepo wako unatishia nchi kumwaga damu unaachia madaraka.Unamkosea kumwita majina yasiyo faa Ruto amesimamisha kusaini hiyo na yuko tayari kuzungumza nao hakuna binadamu asiyekosea hakuna jambo ambalo huisha kwa vurugu bila ya kukaa katika meza ya majadiliano kuendelea kaharibu miundo hiyo siyo sulhu ya kuondoa tatizo
Of all things ambazo umeona ni uharibifu wa miundombinu?Hivi ni kitu gani Mh. Ruto amekosea.
Kwanini wanaharibu miundombinu.
Mh. Ruto alikubali kuwapatia walichotaka kwanini bado wanataka aondoke.
Nimewachukia hawa vijana Mh. Ruto ni kiongozi mzuri sana.
Nimeamua kupost hii video nikiwa na machungu sana.
Kuna takwimu haziko sawa huko. Wakenya wanajua zaidi tuwaachie. Wanafuatilia masuala ya nchi yao kwa ukaribu, na wamechikizwa. Hapa kwetu vijana wengi hawajui kuwa hata Bunge limemaliza vikao vyake. Hawajui bajeti iliyopitishwa ni kiasi gani. Hawajui wizara yao ni ipi na nani waziri wao. Kifupi tuwaache wakenyaHivi ni kitu gani Mh. Ruto amekosea.
Kwanini wanaharibu miundombinu.
Mh. Ruto alikubali kuwapatia walichotaka kwanini bado wanataka aondoke.
Nimewachukia hawa vijana Mh. Ruto ni kiongozi mzuri sana.
Nimeamua kupost hii video nikiwa na machungu sana.