Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kama mnavyojua ndugu zangu sisi ni wanyong mpaka pale sisiemu itakapotoka madarakani.
Hivyo maisha yetu ni ya kuunga unga na kusaidian ili siku zisonge.
Na mtu pekee wa kukuinua ni mwanafamilia mwenzako Dada au Kaka.
Mimi nilimaliza masomo baada ya kuhangaikiwa sana na Dada yangu na Kaka Yangu waliokuwa wanafanya kazi za Ndani.
Hatimaye nikayakwaa majiwe kadhaa ya Elimu.
Baada ya kuyakwaa majiwe ikabidi na mimi nianze sasa kuinua waliobaki nyuma. Ila sasa maji yamezidi Unga. Nahitaji msada. Hivi kwa Tanzania hii unaweza kusomesha watu watano kwa mpigo vyuoni?
Basi tukasonga mbele kama familia hatimaye tukainuka, sasa watu kadhaa wana vipato vizuri tu. Alhamdullilah.
Tuna kesi tatu kwa pamoja.
1. Dogo yuko chuo anasoma.
2. Nyumba imejwngwa bado finishing.
3. Kaka anafunga ndoa.
Mimi kwenye kikao cha wanafamilia nimewambia hizi fedha badala ya kuchangia harusi tuchange kwa ajili ya Dogo masomoni na Tumalizie nyumba ya familia (Family house kwa maana ya family house).
Wamefura.
Hii imenishangaza ni sawa na washkaji zangu unakuta anachangia harudi laki tatu huku Mama yake kijijini anaumwa anamtumia elfu 20.
Wafrika tubadilike. Maendeleo ni sisi wenyewe.
Hivyo maisha yetu ni ya kuunga unga na kusaidian ili siku zisonge.
Na mtu pekee wa kukuinua ni mwanafamilia mwenzako Dada au Kaka.
Mimi nilimaliza masomo baada ya kuhangaikiwa sana na Dada yangu na Kaka Yangu waliokuwa wanafanya kazi za Ndani.
Hatimaye nikayakwaa majiwe kadhaa ya Elimu.
Baada ya kuyakwaa majiwe ikabidi na mimi nianze sasa kuinua waliobaki nyuma. Ila sasa maji yamezidi Unga. Nahitaji msada. Hivi kwa Tanzania hii unaweza kusomesha watu watano kwa mpigo vyuoni?
Basi tukasonga mbele kama familia hatimaye tukainuka, sasa watu kadhaa wana vipato vizuri tu. Alhamdullilah.
Tuna kesi tatu kwa pamoja.
1. Dogo yuko chuo anasoma.
2. Nyumba imejwngwa bado finishing.
3. Kaka anafunga ndoa.
Mimi kwenye kikao cha wanafamilia nimewambia hizi fedha badala ya kuchangia harusi tuchange kwa ajili ya Dogo masomoni na Tumalizie nyumba ya familia (Family house kwa maana ya family house).
Wamefura.
Hii imenishangaza ni sawa na washkaji zangu unakuta anachangia harudi laki tatu huku Mama yake kijijini anaumwa anamtumia elfu 20.
Wafrika tubadilike. Maendeleo ni sisi wenyewe.