Nimewagomea Wanafamilia tusichangie Harusi ya Kaka bali tuchangie mdogo wetu masomo na Nyumba tumalizie. Wamefura nimelikoroga

Nimewagomea Wanafamilia tusichangie Harusi ya Kaka bali tuchangie mdogo wetu masomo na Nyumba tumalizie. Wamefura nimelikoroga

Jamaa alitoka zake Marekani, yeye na mchumba wake (Wabongo).

Kawaletea Wabongo mambo yake ya Kimarekani huko.Alifikiri anawamudu Wabongo.

Basi wee, mwenyewe akajua hajui 😂😂
Hahahaaaa......wanampopoa mpaka anakoma.

Sisi maskini ni hatari sana.kwa mdomo tu hatujambo
 
Kama mnavyojua ndugu zangu sisi ni wanyong mpaka pale sisiemu itakapotoka madarakani.

Hivyo maisha yetu ni ya kuunga unga na kusaidian ili siku zisonge.

Na mtu pekee wa kukuinua ni mwanafamilia mwenzako Dada au Kaka.

Mimi nilimaliza masomo baada ya kuhangaikiwa sana na Dada yangu na Kaka Yangu waliokuwa wanafanya kazi za Ndani.

Hatimaye nikayakwaa majiwe kadhaa ya Elimu.

Baada ya kuyakwaa majiwe ikabidi na mimi nianze sasa kuinua waliobaki nyuma. Ila sasa maji yamezidi Unga. Nahitaji msada. Hivi kwa Tanzania hii unaweza kusomesha watu watano kwa mpigo vyuoni?

Basi tukasonga mbele kama familia hatimaye tukainuka, sasa watu kadhaa wana vipato vizuri tu. Alhamdullilah.

Tuna kesi tatu kwa pamoja.
1. Dogo yuko chuo anasoma.

2. Nyumba imejwngwa bado finishing.

3. Kaka anafunga ndoa.

Mimi kwenye kikao cha wanafamilia nimewambia hizi fedha badala ya kuchangia harusi tuchange kwa ajili ya Dogo masomoni na Tumalizie nyumba ya familia (Family house kwa maana ya family house).

Wamefura.

Hii imenishangaza ni sawa na washkaji zangu unakuta anachangia harudi laki tatu huku Mama yake kijijini anaumwa anamtumia elfu 20.
Wafrika tubadilike. Maendeleo ni sisi wenyewe.
Hongera mkuu. Most mature decision.
 
Hii imenishangaza ni sawa na washkaji zangu unakuta anachangia harudi laki tatu huku Mama yake kijijini anaumwa anamtumia elfu 20.
Wafrika tubadilike. Maendeleo ni sisi wenyewe.
Sikuhizi wamebadirisha kile kiitikio hawasemi tena "Sisi sio Milima" bali wanasema "Sisi ni Ndugu" tutakutana yaan litakukuta na Wewe watasema hio Pesa ya michango wakajengee kaburi la Babu yenu huko Dumila, Dunia kichaka njoo tuchome nyingine
 
Sikuhizi wamebadirisha kile kiitikio hawasemi tena "Sisi sio Milima" bali wanasema "Sisi ni Ndugu" tutakutana yaan litakukuta na Wewe watasema hio Pesa ya michango wakajengee kaburi la Babu yenu huko Dumila, Dunia kichaka njoo tuchome nyingine
Michango michango mingi ni dalili ya umasikini na kuuendekeza umasikini.
 
Kama mnavyojua ndugu zangu sisi ni wanyong mpaka pale sisiemu itakapotoka madarakani.

Hivyo maisha yetu ni ya kuunga unga na kusaidian ili siku zisonge.

Na mtu pekee wa kukuinua ni mwanafamilia mwenzako Dada au Kaka.

Mimi nilimaliza masomo baada ya kuhangaikiwa sana na Dada yangu na Kaka Yangu waliokuwa wanafanya kazi za Ndani.

Hatimaye nikayakwaa majiwe kadhaa ya Elimu.

Baada ya kuyakwaa majiwe ikabidi na mimi nianze sasa kuinua waliobaki nyuma. Ila sasa maji yamezidi Unga. Nahitaji msada. Hivi kwa Tanzania hii unaweza kusomesha watu watano kwa mpigo vyuoni?

Basi tukasonga mbele kama familia hatimaye tukainuka, sasa watu kadhaa wana vipato vizuri tu. Alhamdullilah.

Tuna kesi tatu kwa pamoja.
1. Dogo yuko chuo anasoma.

2. Nyumba imejwngwa bado finishing.

3. Kaka anafunga ndoa.

Mimi kwenye kikao cha wanafamilia nimewambia hizi fedha badala ya kuchangia harusi tuchange kwa ajili ya Dogo masomoni na Tumalizie nyumba ya familia (Family house kwa maana ya family house).

Wamefura.

Hii imenishangaza ni sawa na washkaji zangu unakuta anachangia harudi laki tatu huku Mama yake kijijini anaumwa anamtumia elfu 20.
Wafrika tubadilike. Maendeleo ni sisi wenyewe.
Kwasababu umesema mko kadhaa mna kipato kizuri sioni shida inatoka wapi kuchangishana ili mkamilishe yote matatu.
1. Masomo ni on going process
2. Nyumba pia ni long term process.
3. Marriage can be planned.
Changishaneni mtimize yote matatu ili wote muwe na furaha.
 
Huwa inanishangaza mno mno mno.ugonjwa hawatachanga.....masomo kuinuana kimitaji ila waambie harusi...
 
Mwambie afunge kwanza
ndoa af sherehe ya harusi watafanya tu baadae mambo yakijipa au at least mkishapunguza punguza majukumu.

Wanavaa vizuri kanzu safi, Shela ya kukodi kalii, make up haksool na Vipiko piko nini bas hapo mchawi iphone tuu. Mnapiga picha kalii mnapost ushahidi bas shuuli imeisha.
Kwenye msosi sio lazima mpike mavitu mengii. Pilau nyama salad tikiti na soda ni standard kabisa.
Mbona watu wengi tu wanafanya hivo especially waislam kwasab kinachohalalisha tendo ni ndoa mnayofunga pale msikitini/nyumbani kwa binti, sherehe ni mbwembwe tu tena kiuhalisia kabisa huwa ni showoff isokuwa na maana.
 
Kwasababu umesema mko kadhaa mna kipato kizuri sioni shida inatoka wapi kuchangishana ili mkamilishe yote matatu.
1. Masomo ni on going process
2. Nyumba pia ni long term process.
3. Marriage can be planned.
Changishaneni mtimize yote matatu ili wote muwe na furaha.
Mkuu sawa. Lakini mamisha yana mambo mengi. Ndio maana hata matajiri wana pesa nyingi lakini hawawezi kufanya mambo yote kwa pamoja. Lazima Priority one after another.
 
Huwa inanishangaza mno mno mno.ugonjwa hawatachanga.....masomo kuinuana kimitaji ila waambie harusi...
Noma sana.

Mgonjwa hawachangui ila akifa atasafirishwa kutoka Dar kwenda Songea milioni 10. Mgonjwa kafa kwa kukosa milioni mbili.
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Mi Niko upande wako sana tuu ila.

Changamoto ni pale mnapoitwa Kwa Agenda ya Harusi harafu wewe unaongelea mambo ya ada ya dogo.

Mentality ya waafrica wengi huchukulia Harusi kuwa ni jambo la siku Moja halitarudia hivyo hulisheherekea Kwa mkazo wake.

Binafsi nakushauri fanikisheni ndoa ya kaka aoe isije wajengea mgawanyiko wa kifamilia... Hayo mengine pia yafanyike.

With [emoji120]; mtwa mkulu
Hapo wanataka kuchoma millions inaelekea hawataki a simple wedding....siyo kwamba hataki ndoa ifanyike but iwe simple tu....
 
Mkuu sawa. Lakini mamisha yana mambo mengi. Ndio maana hata matajiri wana pesa nyingi lakini hawawezi kufanya mambo yote kwa pamoja. Lazima Priority one after another.
Nimeainisha hapo. Shule mtoto hasomi kwa kulipiwa hela yote ni term kwa term kwa miaka yote anayosoma. Pia nyumba inajengwa step by step. Ndoa mnapanga. Yote yanawezekana kufanyikq mkiamua.
 
Back
Top Bottom