Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
-
- #41
Watakuona una dharauKuna mchizi alisema "Harusi yetu haitataka mchango. Mtu akitaka kutuchangia, kuna kijiji cha Wamasai tunaki support kipate maji, mnaweza kukichangia".
Jamaa alitoka zake Marekani, yeye na mchumba wake (Wabongo).Watakuona una dharau
Hahahaaaa......wanampopoa mpaka anakoma.Jamaa alitoka zake Marekani, yeye na mchumba wake (Wabongo).
Kawaletea Wabongo mambo yake ya Kimarekani huko.Alifikiri anawamudu Wabongo.
Basi wee, mwenyewe akajua hajui 😂😂
Hongera mkuu. Most mature decision.Kama mnavyojua ndugu zangu sisi ni wanyong mpaka pale sisiemu itakapotoka madarakani.
Hivyo maisha yetu ni ya kuunga unga na kusaidian ili siku zisonge.
Na mtu pekee wa kukuinua ni mwanafamilia mwenzako Dada au Kaka.
Mimi nilimaliza masomo baada ya kuhangaikiwa sana na Dada yangu na Kaka Yangu waliokuwa wanafanya kazi za Ndani.
Hatimaye nikayakwaa majiwe kadhaa ya Elimu.
Baada ya kuyakwaa majiwe ikabidi na mimi nianze sasa kuinua waliobaki nyuma. Ila sasa maji yamezidi Unga. Nahitaji msada. Hivi kwa Tanzania hii unaweza kusomesha watu watano kwa mpigo vyuoni?
Basi tukasonga mbele kama familia hatimaye tukainuka, sasa watu kadhaa wana vipato vizuri tu. Alhamdullilah.
Tuna kesi tatu kwa pamoja.
1. Dogo yuko chuo anasoma.
2. Nyumba imejwngwa bado finishing.
3. Kaka anafunga ndoa.
Mimi kwenye kikao cha wanafamilia nimewambia hizi fedha badala ya kuchangia harusi tuchange kwa ajili ya Dogo masomoni na Tumalizie nyumba ya familia (Family house kwa maana ya family house).
Wamefura.
Hii imenishangaza ni sawa na washkaji zangu unakuta anachangia harudi laki tatu huku Mama yake kijijini anaumwa anamtumia elfu 20.
Wafrika tubadilike. Maendeleo ni sisi wenyewe.
Tunajaribu kuwapa elimu na wenzetu......wawe na best choices waachana na vitu visivyo na faida sanaHongera mkuu. Most mature decision.
Sikuhizi wamebadirisha kile kiitikio hawasemi tena "Sisi sio Milima" bali wanasema "Sisi ni Ndugu" tutakutana yaan litakukuta na Wewe watasema hio Pesa ya michango wakajengee kaburi la Babu yenu huko Dumila, Dunia kichaka njoo tuchome nyingineHii imenishangaza ni sawa na washkaji zangu unakuta anachangia harudi laki tatu huku Mama yake kijijini anaumwa anamtumia elfu 20.
Wafrika tubadilike. Maendeleo ni sisi wenyewe.
Michango michango mingi ni dalili ya umasikini na kuuendekeza umasikini.Sikuhizi wamebadirisha kile kiitikio hawasemi tena "Sisi sio Milima" bali wanasema "Sisi ni Ndugu" tutakutana yaan litakukuta na Wewe watasema hio Pesa ya michango wakajengee kaburi la Babu yenu huko Dumila, Dunia kichaka njoo tuchome nyingine
Hiki ndicho mke wa kaka atakiwaza.Kwanini hukuleta wazo kabla ya Kaka yako kuwaza habari za harusi ?
HahaaHiki ndicho mke wa kaka atakiwaza.
Ndio maana nikamwambia njoo tuchome nyasi zingine naona zimezagaazagaa hapaMichango michango mingi ni dalili ya umasikini na kuuendekeza umasikini.
Kwasababu umesema mko kadhaa mna kipato kizuri sioni shida inatoka wapi kuchangishana ili mkamilishe yote matatu.Kama mnavyojua ndugu zangu sisi ni wanyong mpaka pale sisiemu itakapotoka madarakani.
Hivyo maisha yetu ni ya kuunga unga na kusaidian ili siku zisonge.
Na mtu pekee wa kukuinua ni mwanafamilia mwenzako Dada au Kaka.
Mimi nilimaliza masomo baada ya kuhangaikiwa sana na Dada yangu na Kaka Yangu waliokuwa wanafanya kazi za Ndani.
Hatimaye nikayakwaa majiwe kadhaa ya Elimu.
Baada ya kuyakwaa majiwe ikabidi na mimi nianze sasa kuinua waliobaki nyuma. Ila sasa maji yamezidi Unga. Nahitaji msada. Hivi kwa Tanzania hii unaweza kusomesha watu watano kwa mpigo vyuoni?
Basi tukasonga mbele kama familia hatimaye tukainuka, sasa watu kadhaa wana vipato vizuri tu. Alhamdullilah.
Tuna kesi tatu kwa pamoja.
1. Dogo yuko chuo anasoma.
2. Nyumba imejwngwa bado finishing.
3. Kaka anafunga ndoa.
Mimi kwenye kikao cha wanafamilia nimewambia hizi fedha badala ya kuchangia harusi tuchange kwa ajili ya Dogo masomoni na Tumalizie nyumba ya familia (Family house kwa maana ya family house).
Wamefura.
Hii imenishangaza ni sawa na washkaji zangu unakuta anachangia harudi laki tatu huku Mama yake kijijini anaumwa anamtumia elfu 20.
Wafrika tubadilike. Maendeleo ni sisi wenyewe.
Mkuu sawa. Lakini mamisha yana mambo mengi. Ndio maana hata matajiri wana pesa nyingi lakini hawawezi kufanya mambo yote kwa pamoja. Lazima Priority one after another.Kwasababu umesema mko kadhaa mna kipato kizuri sioni shida inatoka wapi kuchangishana ili mkamilishe yote matatu.
1. Masomo ni on going process
2. Nyumba pia ni long term process.
3. Marriage can be planned.
Changishaneni mtimize yote matatu ili wote muwe na furaha.
Noma sana.Huwa inanishangaza mno mno mno.ugonjwa hawatachanga.....masomo kuinuana kimitaji ila waambie harusi...
Hapo wanataka kuchoma millions inaelekea hawataki a simple wedding....siyo kwamba hataki ndoa ifanyike but iwe simple tu....Mi Niko upande wako sana tuu ila.
Changamoto ni pale mnapoitwa Kwa Agenda ya Harusi harafu wewe unaongelea mambo ya ada ya dogo.
Mentality ya waafrica wengi huchukulia Harusi kuwa ni jambo la siku Moja halitarudia hivyo hulisheherekea Kwa mkazo wake.
Binafsi nakushauri fanikisheni ndoa ya kaka aoe isije wajengea mgawanyiko wa kifamilia... Hayo mengine pia yafanyike.
With [emoji120]; mtwa mkulu
Nimeainisha hapo. Shule mtoto hasomi kwa kulipiwa hela yote ni term kwa term kwa miaka yote anayosoma. Pia nyumba inajengwa step by step. Ndoa mnapanga. Yote yanawezekana kufanyikq mkiamua.Mkuu sawa. Lakini mamisha yana mambo mengi. Ndio maana hata matajiri wana pesa nyingi lakini hawawezi kufanya mambo yote kwa pamoja. Lazima Priority one after another.
Inasikitisha sana yan kwenye familia yenu wewe peje yako ndio una mawazo mbadala na ya maendeleo, aisee pole mkuu, watu wengi hawajui kuset prioritiesMkuu sibanduki
Ni shida sana MkuuInasikitisha sana yan kwenye familia yenu wewe peje yako ndio una mawazo mbadala na ya maendeleo, aisee pole mkuu, watu wengi hawajui kuset priorities