Nimewahi kufanya mara moja tu

Nimewahi kufanya mara moja tu

Umeelewa lakini?
Kuogelea haimaanishi kafanya mara nyingi, ni kwamba iliyotangulia ni kubwa kuliko yako. Sasa hapo nani alaumiwe?
ile elasticity haipotei kwa mfanyo wa mara moja,
lazima afanye mara nyingi
 
Kwani nikifanya mara 100 na kibamia. Wewe ukija na hogo utaogelea?
kuna moves 2 pale

1. back-n-forth, hii kama ni kibamia , haina effect sana

2. round-n-round, hii hutoki, iwe kibamia iwe hogo, kwa idadi ya 100 lazima itakua kama picha ya kwanza kabisa kwenye uzi juu
 
Mji mkongwe au siyo? [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kwani unakuwa hauna kibamia kweli?
Wanaume wenzako waliopita hapo walikuwa na nene, ndio maana imekuwa hivyo. Unadhani alilala akaamka akawa hivyo? Kwahiyo ukiambiwa unakibamia elewa.
Duuuh
 
Hii ilishaga wahi kunitokea kwa demu mmoja hivi nilimufukuzia ndani ya miezi nane bila kugegeda

Nilikuwa napangwa tu na kupewa matumaini kuwa yeye alishaga wahi kufanya mara moja tu tena kidogo

Naogopa kufanya nitaumia maana sijazoea mimi

Duh!!...siku tumekutana tena kwa kutumia gharama kubwa sana.

Aiseeeeee!![emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kila shetani na mbuyu wake.
Unachokikataa wewe mwingine kinamnyima usingizi.

Wewe kama unapenda Automatic, kuna wengine wanapenda Semi automatic, gear 5/6/10/12.

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema "Mizigo mizito waachie wanyamwezi".
Hizo ngoma ni za wanyamwezi wateule waachie uone wanavyoikokota kama Scania ya gia 16 na mzigo wa tani 38.
 
😂 😂 😂 😂 😂😂
Alafu anabana na miguu
 
Hii ni ngorongoro crater? Jiografia niliacha siku nyingi.
 
Back
Top Bottom