Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

kukomesha watu kama hawa, kwa nn usimripoti polisi, hoping watamshughulikia au watamtoa upepo- vyote ni adhabu tosha !!
....Interesting katumia jina la Mboma, kumbuka huyu m-meremeta ana miradi ya machimbo... mmmmhh !! Hapa kuna pazuri pa kuanzia...

Wazo zuri ngoja niangalia utaratibu wa kumripoti huyu bwana...mwivi mkubwa
 
kukomesha watu kama hawa, kwa nn usimripoti polisi, hoping watamshughulikia au watamtoa upepo- vyote ni adhabu tosha !!
....Interesting katumia jina la Mboma, kumbuka huyu m-meremeta ana miradi ya machimbo... mmmmhh !! Hapa kuna pazuri pa kuanzia...

Wazo zuri ngoja niangalia utaratibu wa kumripoti huyu bwana...mwivi mkubwa
 
Shida yako ndogo inaweza kukuzalia kiama. tuwe makini sana. Ila ukiwa makini hata anavyoongea tu unaweza mkamata.
 
Shida yako ndogo inaweza kukuzalia kiama. tuwe makini sana. Ila ukiwa makini hata anavyoongea tu unaweza mkamata.

Aagh hiyo ni ngumu,kwa mfano huyu mshkaji akijifanya kama kiswahili hajakizoea vizuri ingwa anaongea na anachanganya na kidhungu!!!
 
ungetoa na namba zao za simu kabisa ili watu wengine wkipigiwa simu wajue kuwa huyo anayepiga ni tapeli


yes, weka namba hapa! si tu ili watu wengine wajua ila ikiwezekana tuifanyie kazi
 
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha utaanza vipi kutoa pesa kabla ya kazi na hata mtu mwenyewe hajuani??jaribu uliwe he he he he
 
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha utaanza vipi kutoa pesa kabla ya kazi na hata mtu mwenyewe hajuani??jaribu uliwe he he he he
Nlisepa kama Lowassa man.......
 
Wazo zuri madame....namba yenyewe ni ya voda..hii hapa 0752410715.

Ameisajilri namba hiyo kwa jina la CURTIS IBINZA, hapa unaweza anza nae maana kuna watu wanaweza wakatapeli wajisahau wakatumia line zao wakidhani hawawezi julikana
 
Back
Top Bottom