Nimewakumbuka wapenzi wangu wa zamani

Naomba usirudi ubakii huko huko..maana ukirudi nitapiwa kwa kicheko
 
Naomba usirudi ubakii huko huko..maana ukirudi nitapiwa kwa kicheko
 
Woozer woozeeer[emoji23][emoji23]baba mchungaji ndo mwanzo mwisho

Ila umejua kuwajaza aisee umetumia ujana vizuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...me ata ist haijai[emoji85]
Mamaaeee walllahhhh wewe zile yutong 8 zimepaki pale tengeru za nani??? Weeeee em tema mate chiniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚usinifanye nivue nguo
 
Ongezea na yutong ya 13 ya watu wa jf[emoji23][emoji23][emoji23]
Wooiiiii plus lingine la ma modsπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Ambao tupo na demu mmoja toka darasa la saba hadi leo huu uzi tunaupita tu
Mmmmh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
 
Amakweli wanawake wanafanana majina maana listi yako imegusa top four ya mwanangu flani hivi
 
Msalimie Zaitobo..
 
Baharia/Bazaaazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…