Acha kusoma katikati ya mistari umesikia???
Thanx mpendwa kwa kujali maslai yangu. Nipo busy na wapiga kura atantmbua nikirui ye mwache ajidai na babu sijui kabaila!Halafu wewe ngoja Kimey aamuke ndo utamjua
bora maana nilitaka sana kukaguliwa hahaha!babu mwaka huu anakagua maeneo gani vile?
Halafu tangu jana uko wapi?? Maana hii posted via mobile yanitia mashaka mie
Thanx mpendwa kwa kujali maslai yangu. Nipo busy na wapiga kura atantmbua nikirui ye mwache ajidai na babu sijui kabaila!
Nakagua matiti (na visaidizi vya baioloji):clap2::clap2:
hahaha!nimeacha,,nigongee senks basi
Sikuoni ujue!!!
Nimekupa 20 umeridhika?
Usishituke na wewe BP za nini saa hizi??