loveness love
Senior Member
- Jan 13, 2011
- 148
- 8
Thanx mpendwa kwa kujali maslai yangu. Nipo busy na wapiga kura atantmbua nikirui ye mwache ajidai na babu sijui kabaila!
Hivi hawaja sikika long ila yule kuvaibret cm nilimcheki jana.nawa missssssssssss tooooo
Mimi sijambo japo unikumbuki naitwa kakakiiza umelikumbuka jina hilo??Niko poa mzima wewe haya tuma ujumbe
Niko poa mzima wewe haya tuma ujumbe
Niko poa mzima wewe haya tuma ujumbe
OMG list ilikuwa ndefu dear pole KK nakumiss wewe hujui tu
jamani jamani mama wa busara mbona sikufanya kosa lolote ?umemuona afro kny long distance relationship?mwambie fidel nae nasubiri nimuone
jamani jamani mama wa busara mbona sikufanya kosa lolote ?
hahaha!kufanya lolote si lazma liwe baya,,umefanya lolote zuri,,nimemtuma dena akatathmini,,gudgal
Sijakwenda huko let me go fast
Wiselady...hebu twende kule tukatongozane kidogo. Nimekumisi ujue.
wapi odm laaziz,,si unajua tuna venue nyingi?
Niko kwotekwote...we chagua utakako.
Nakusubiri. Sawa?
hahaha!kufanya lolote si lazma liwe baya,,umefanya lolote zuri,,nimemtuma dena akatathmini,,gudgal