Babu umekuwa nini tena??!!!
Nitakutafutia dawa ya kupunguza hasira
Kwenye PM tulikubaliana nini?
Mi unaanza kuniudhi ujue?
Nifanyeje sasa Babu jamani???nisaidie mwenzio......:roll:
Labda uniletee huku room 106 kwenye godoro la comfy.....
ww ndo umepaki nyuma yangu? mi nilikuwa 108......AC yake kali kweli, njoo unipishe naondoka bana!!
Hebu twende PM tukamalizane au tukaanze upya...
Umesahau nilikuomba kuwa nataka nikuombe?:sick:
My Smiles! Where av u been? Me mcd u badly!Me misses u......
Nakusubiri huku Babu au bado upo room 108??
Tusker moto
Mbona nakupigia hupokei?