Nimewamiss hawa watu Jamani

Nimewamiss hawa watu Jamani

Niko hapa jana na leo naomba usikasirike wakwetu, nakupenda nakuwaza hata nisiposema tuko pamoja kama kitanda na godoro

G'amila dena do naniihii.............?????
 
Si umeona mimi nachezea senta fowadi mzee wa kiminyio..!

Nimeona, unajua baba enock kuwa nyanda sio bahati mbaya.....siunakumbuka utafiti wa Redet kuhusu natafuta infii ulimweka yeye kama nambari one, Finest wa pili, sikujua mzee redet walikutupa senta forwad
 
Niko hapa jana na leo naomba usikasirike wakwetu, nakupenda nakuwaza hata nisiposema tuko pamoja kama kitanda na godoro

G'amila dena do naniihii.............?????

Garma aidomai? Nimekusoma Nasi nasi!!!
 
A idorii b'ar ge'er?
anak aiya! Kuna mtu huku anataka kuoa manzi ya kikeii namunea huruma lakini gitlhai wala hanisikii ameng'ang'ania.

Yaani mwambie akimbie kama ameona mbwa kichaa hawafai hao
 
A idorii b'ar ge'er?
anak aiya! Kuna mtu huku anataka kuoa manzi ya kikeii namunea huruma lakini gitlhai wala hanisikii ameng'ang'ania.

khasit garmam..
anaka ya afa hog ............................
 
Maliza maliza kabisa maana tukisema sisi wanadai tunawabagua na hatuwapendi lakini ukweli unabaki palepale


Sio ubaguzi hawana heshima na hawafai nawajua sana mie na niko nao hapa
 
Maliza maliza kabisa maana tukisema sisi wanadai tunawabagua na hatuwapendi lakini ukweli unabaki palepale

Join Date : Thu Nov 2010
Posts : 519
Thanks: 1Rep Power : 22

Wise Lady na BAK mmemuona huyu?? Thanks ngapi?? Mnanisema mie tu kumbe tuko wengi
 
Back
Top Bottom