Nimewamiss hawa watu Jamani

Nimewamiss hawa watu Jamani

Missed you too honey...Ulinambiaga ulikuwa nchi gani vile?...What a sweet reunification with a loved one!...karibu jamani!

Nilikuwa (Government of Southern Sudani risasi nje nje) ila nimerudi salama.
 
Daaah yaani roho ilikuwa inaniuma hujasema lolote mpaka sasa. Kweli kumebadilika hiyo Avatar mpya duuhh kweli nilimiss sana
This days Afro kanibana sana nikigeuka kulia yupo, kushoto yupo, nyuma yupo, mbele yupo
 
Naomba umuulize PJ shares zangu Arusha zimeongezeka kwa aslimia ngapi????

hawezi kitu huyo..akiniona anasepa , maana nishamchana vibaya kwa Mohamed Shossi kule!...ananibembeleza mi simtaki!
 
Miss u too dia mbona ulipotea hivyo jamani mwe? karibu tena jamvini mpenzi
 
Back
Top Bottom