Nimewamiss hawa watu Jamani

Nimewamiss hawa watu Jamani

hawezi kitu huyo..akiniona anasepa , maana nishamchana vibaya kwa Mohamed Shossi kule!...ananibembeleza mi simtaki!
Ameniambia kuwa ameenda kuchukua kozi ya mashairi akirudi lazima ukimbie
 
Ameniambia kuwa ameenda kuchukua kozi ya mashairi akirudi lazima ukimbie

Hataweza...Huyo ndo SLOWEST LEARNER katika kampuni yetu...itamgharimu miaka 5 na ma'supp kibao!...ni msalaba huyu jamani!
 
Hataweza...Huyo ndo SLOWEST LEARNER katika kampuni yetu...itamgharimu miaka 5 na ma'supp kibao!...ni msalaba huyu jamani!

hahaha,,msalaba lkn unaubeba mbona hunitui??najipanga nijue vile nitakuattack
 
file lako kule kny bday lina hang sasa endelea kuniudhi
 
Back
Top Bottom