Nimewamiss MMU members waliotoweka ghafla

Nimewamiss MMU members waliotoweka ghafla

Mahondaw

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
67,252
Reaction score
168,563
Kuna Jf members ambao kwa namna moja ama nyingine walilipamba sana jukwaa hili la MMU kipindi fulani kwa michango yao. Watu hao binafsi walikua wananifurahisha sana nafsi yangu kila mmoja kwa staili yake.

Ghafla tu nimejikuta nawakumbuka sana kwani kila nikiingia siwaoni kila nikiingia siwaoni jamani wapo wapi hawa watu??? How are they doing?? Ni muda mrefu kidogo umepita siwaoni oni jukwaani wamepatwa na nini huko jamani?? Anaewajua live bila chenga awape salamu zangu kuwa nimewakumbuka sana hapa jukwaani.

miss neddy Khantwe utafiti Excel mmepotea sana Manka m miss chagga mmepotea kidizain japo miss chagga Jana nilikuona nikakukoti makusudi tu ili nitambue uwepo wako kwakuwa nilikumiss sana na lara1 nimemis weekend storee na mashushu yake na tuvitu twingine twa ziada twingi twingi tu pia huwa napata vimisemo vingivingi kweli vinavoikonga roho yangu na kufanya siku yangu inoge.

Hao na wengineo weengi ambao sijawataja wamejificha wapi sikuhizi???
 
Miss neddy alikua na kipindi Kizuri sana cha interview jamani sijui kiliishia wapi
 
  • Thanks
Reactions: MC7
H
Kuna jf members ambao kwa namna moja ama nyingine walilipamba sana jukwaa hili la MMU kipindi fulani kwa michango yao . Watu hao binafsi walikua wananifurahisha sana nafsi yangu kila mmoja kwa staili yake.
Ghafla tu nimejikuta nawakumbuka sana kwani kila nikiingia siwaoni kila nikiingia siwaoni jamani wapo wapi hawa watu??? How are they doing?? Ni mda mrefu kidogo umepita siwaoni oni jukwaani wamepatwa nanini huko jamani?? Anaewajua live bila chenga awape salamu zangu kuwa nimewakumbuka sana hapa jukwaani.
miss neddy Khantwe utafiti Excel mmepotea sana Manka m miss chagga mmepotea kidizain japo miss chagga Jana nilikuona nikakukoti makusudi tu ili nitambue uwepo wako kwakua nilikumiss sana na lara1 nimemis weekend storee na mashushu yake na tuvitu twingine twa ziada twingi twingi tu pia huwa napata vimisemo vingivingi kweli vinavoikonga roho yangu na kufanya siku yangu inoge.
Hao na wengineo weengi ambao sijawataja wamejificha wapi sikuhizi???


Hawa wote wameondolewa kwenye University Offer , wanaishi kama mashetani lol!!
 
Back
Top Bottom