Umerudi tena,karibu sanaNimerudi tena jaman , it has been a while na Niko na hamu sana ya kusimulia story ya maisha yangu especially upande wa mahusiano, hope mtaipokea
Ulikuwa unatumia ID ipi ili tukutanbue?Nimerudi tena jaman , it has been a while na Niko na hamu sana ya kusimulia story ya maisha yangu especially upande wa mahusiano, hope mtaipokea
Mama mchungaji, mbona umekua msahaulifu zaidi eehhh...🙂Umerudi tena,karibu sana
Uliondoka kwa ID ipi vile?
Unaniangusha mh mjumbe...🤣Ulikuwa unatumia ID ipi ili tukutanbue?
Mh mjumbe umenifanya nirudi kusoma komenti kwanza nione kama naweza kupata muongozo ila nimeambulia patupu..,Unaniangusha mh mjumbe...[emoji1787]
Unamkumbuka shemeji yako wa tatu hapa ndani miaka ileee.....😊Mh mjumbe umenifanya nirudi kusoma komenti kwanza nione kama naweza kupata muongozo ila nimeambulia patupu..,
Daaahh, bado nakuna haka kakipara nione kama madini yatajitokeza..Unamkumbuka shemeji yako wa tatu hapa ndani miaka ileee.....[emoji4]
Ngoja nikutumie PM mh mjumbe....😊Daaahh, bado nakuna haka kakipara nione kama madini yatajitokeza..
Hapo umeupiga mwingi hadi umemwagika sasaNgoja nikutumie PM mh mjumbe....[emoji4]