Pole .....kwanini mkuki moyoni?
Nimekuta tayari umeshachukuliwa kweli mapenzi ni sawa na upofu ujui litakalotekea uko mbele
Hehehehe sasa kama uliondoka katika mazingira ya kutatanisha mie nifanyeje?.......mume gani unaondoka humuagi mkeo?
Kama nilitekwa ningepata wapi nafasi ya kukuaga?
Hehehehe acha kunichekesha bana lol.....haya ulitekwa kwa kisa gani?
Kisa eti nilishuhudia mauaji ya jirani yetu wakati natokea kazini sikuweza hata kupata nafasi ya kukuambia chochote
miss u too
Jamani pole eeh!!!!!
Moyo wangu unasikitika kukuta tayari umeshachukuliwa
Usisikitike manake umeyataka mwenyewe!
Kushindwa kupata nafasi ya kukuaga au?
Jamani waumwa nini aiseee?Naumwa tehe!
Hivi kama ni mimi nimeondoka bila kukuaga ungechukua hatua gani?
Jamani waumwa nini aiseee?