Nimewamiss....

Nimekuta tayari umeshachukuliwa kweli mapenzi ni sawa na upofu ujui litakalotekea uko mbele

Hehehehe sasa kama uliondoka katika mazingira ya kutatanisha mie nifanyeje?.......mume gani unaondoka humuagi mkeo?
 
Hehehehe acha kunichekesha bana lol.....haya ulitekwa kwa kisa gani?

Kisa eti nilishuhudia mauaji ya jirani yetu wakati natokea kazini sikuweza hata kupata nafasi ya kukuambia chochote
 
miss u too

I hide my tears when I say your name, but the pain in my heart is still the same. Although I Smile & Seem Carefree, There is no one Who misses you more than ME!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…